Kwa mwenye akili na fikra chanya atajengeka na kauli zinazomrudisha ktk hali ya ubinadamu.. Siasa za Tanzania ni ushetani ambao uliobobea na wanasiasa wanauchukia ukweli kwa maana utawafelisha kutokana tamaa na matendo yao wengi sio rafiki kwa wananchi wengi na taifa lao.
Uongozi ni kitu cha asili na viongozi wapo kwaajili yetu wananchi na wao hawakupaswa kulipwa mishahara zaidi ya serikali kuzingatia viongozi wanapatiwa huduma za chakula, afya, maji, umeme n.k .
Kwa maana kama ni watoto wao watasoma bure katika shule zetu za Serikali na pia wakitaka watoto...
Uongozi ni wito ila kwa sasa imekua ajira ambayo watu wanauana,wanatekana na kuumizana kwa kulinda nafasi zao kwa maana wanaamini wamekosa asili hiyo na wanafosi kwaajili ya mishahara tuu na ndio madhaifu yanapoanzai
Kuna muda tusiwe personal sana kwa maana wanaotaka katiba ibadilishwe inabidi pia wapatiwe nafasi kwa kuwa uhuru ni wetu kuchagua kwa lengo la kunufaisha wengi na sio yale wanayotaka wengine muyadharau na kuwaona hawana fikra.. Original niqas don't fear changes only fake ones do ✍🏾👂🏾🙏🏾
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.