Recent content by Msandawe Jr

  1. Msandawe Jr

    Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wewe

    Hivi Kuna mtu anaijua hata anuani au tovuti ya tiss?ukiangalia nchi zilizoendelea idara hii unakuta hata tovuti ipo unaweza pata abc za idara.
  2. Msandawe Jr

    Mmeziona Fursa za kusomeshwa Bure na KCB? Changamkia hizi short course nchi nzima

    https://forms.office.com/pages/responsepage.aspx?id=_n80dJKDb0qc0k1zceIioUJcYa3urt9PlVeo1PScCwVUREsxWVIyTVlGOUxNNTczSzEzQVIwMllZOS4u
  3. Msandawe Jr

    Mmeziona Fursa za kusomeshwa Bure na KCB? Changamkia hizi short course nchi nzima

    Usipotoshe watu ukiwa huna taarifa ya uhakika juu ya jambo
  4. Msandawe Jr

    SoC02 Jeshi la uchumi wa Taifa(JUT) na ufumbuzi wa maendeleo wa Taifa

    Maendeleo ya taifa la Tanzania unategemea rasilimali pamoja na namna rasilimali zitakavyo simamiwa.Miaka ya hivi karibuni idadi kubwa ya vijana wanehitimu na wanaendelea kuhitimu katika shule za msingi na sekondari,vyuo na vyuo vikuu ndani na nje ya nchi. Ni jambo la kujivunia kutokomeza adui...
  5. Msandawe Jr

    Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

    Naunga mkono pia hii sio kwa wabongo tu. Wazungu wanafunga cctv camera, wanatumia software solutions,open office n.k na kukulipa kutokana na muda utakao kaa kazini lengo ni kuongeza uaminifu wabongo wanafanya kazi kijanja janja ila anataka faida kubwa. Huwez amini kuna watanzania wanakampuni...
  6. Msandawe Jr

    Vijana wakiwa waaminifu, na wakawa wanajituma ipasavyo bila kudokoa dokoa (kuiba iba), tatizo la ajira litakuwa halipo

    Tatizo sio vijana uaminifu umepungua kwa watanzania asilimia kubwa sema tu vijana wengi njaa kali na wanaofungua miradi wengi wanataka kutumia vijana bila kuangalia maslahi ya vijana. Hata wazee walio makazani kama ingekuwa unalipwa kwa poductivity yako nahis wengi hata 50% ya mshahara wasingepata.
  7. Msandawe Jr

    Uzi wa kupeana madili popote ndani na nje ya Tanzania

    Fursa ya nafasi ya walimu wa 4 wakike kufundisha geography na history nchini india,jimbo la Tamil Nadu. Meal and accommodation utapatia, pamoja na visa. Kujiendeleza kimasomo inaruhusiwa. Ukiwa tayari njoo na CV pm.
  8. Msandawe Jr

    Postal wamenikatalia kusafirisha nusu kilo ya kahawa mpaka kibali bila kuniambia kibali Cha nini

    Mkuu njia rahisi ni DHL ijapokuwa ni gharama kubwa ila uhakika mkubwa wa mzigo wako kupokelewa. Nilituma sample za viungo ujermani mwaka jana nilituma kg 4.5 ya sample mbalimbali kwa uwiano wa 500 g Iriki,karafuu,kahawa,pilipili kichaa,tangawizi,manjano,mdarasini na lozera Nililipa laki 3 na 90...
  9. Msandawe Jr

    Jinsi ya kupata kazi TISS

    Ukimaanisha
  10. Msandawe Jr

    Dunia haina usawa - hata wajinga kabisa wanapata pesa za hatari

    Watu makini wabinafsi wanaona hawataki kusaidia kikubwa maslahi yao yanapatikana
  11. Msandawe Jr

    Nipite njia gani ili niweze kuwa afisa usalama?

    Naomba uhusiano wa graduate mwenye ufaulu mkubwa na kitengo nyeti ?
  12. Msandawe Jr

    Nipite njia gani ili niweze kuwa afisa usalama?

    Elimu tunayoipata kwenye vyuo vyetu bado haipo kwenye kutufanya tuendane na mifumo mipya ya ki intelegensia. Chini ya 1% ya graduate wanaweza kufit kwenye kitengo kwa kuwa na ufanisi kwasababu hiyo ngumu kuweka criteria ya graduate ndio atafaa.
  13. Msandawe Jr

    Nipite njia gani ili niweze kuwa afisa usalama?

    Kipimo cha intelligence hakipimwi na kuwa graduate au la, Bali uwezo wa kutumia maarifa aliyonayo kusaidia jamii na taifa kwa ujumla usimpoteze kijana.
Back
Top Bottom