ujue hawa ccm wanadhani wote hatuna akili! Nani asiyejua Kazi ya mbunge? aseme hapa tumuelimishe sie Kazi yetu Ni kuwakomboa watu kifikra tutaoa Elimu bure ya utaia!
Kazi ya mbunge si kuleta maendeleo Kazi ya mbunge Ni kutunga Sheria Na kuisimamia serikali ilete maendeleo kwa wananchi wake! Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.