Recent content by Msakanyoka

  1. M

    Msaada: Whatsapp haitaki

    Fungua browser kisha ingia Download APP APK Android App Online - Free Pure APK Downloader ,shusha mbadala wa playstore kisha install ukimaliza ifungue na utaona app ya WhatsApp itakuonyesha inataka update gonga hapo upate Kua update kirahisi kabisa,enjoy
  2. M

    MSAADA: Naweza kumtumia mtu app niliyo download toka playstore via bluetooth...?.

    Yawezekana download kutoka play store app inayokwenda kwa jina la "APKshare" au "Cshare" japo cshare ni lazima nyote muwe mmeinstall katika simu zenu, Cshare ni nzuri zaidi kwani unaweza kutuma app zaidi ya moja
  3. M

    Msaada Namna ya ku-update ios ya Ipad Air

    Hakikisha unaupdate kwa Wifi
  4. M

    Aljazeera sport 1,2,3,4....10

    Kwa sasa aljazeerasport haipatikani waliuza hisa zao kwa BEIN TV na wao hawajiachia Kama tulipokuwa tunawapata aljazeera kirahisi chini ni moja ya email zao Kuja kwangu: Dear Sender, Greeting from beIN sports Channel We regret, but we do not have the broadcast right in Tanzania. Best regards,
  5. M

    Msaada::jinsi ya kukata laini ya simu.

    Nitafute nitakukatia Kwa Kifaa maalum
Back
Top Bottom