Majina ninayo na Usaili utafanyika ukonga hata kwa wale wa mwanzo walioambiwa usaili ungefanyikia kurasini: tuma herufi ya jina lako nikuandikie yalitoka jana kwenye gazeti la uhuru
Habari za leo wana Jf! Poleni na Mihangaiko ya kila siku.
Mimi ni kijana wa kiume, umri wangu ni miaka 26 mrefu futi 5:6 Naishi dsm, Shida yangu ni kwamba natamani sana na mimi kupata mpenzi ama Gf ambaye atanipa japo mawazo mbali na kufurahi kimapenzi,
Ni mda...
Daaah watu mnakuja kutuomba ushauri tu wa kuitwa kenye usali wakati hukutushirikisha wakati unaona tangazo labda na wenzio wangeomba huo ni uroho alafu unaitwa unaanza kutusumbua si ujiamini kama ulivojiamini kuomba?
Usifanye hivo najua unatatizika utaishi wapi huku na mimba nitumie namba ya huyo mwanaume alokuacha nikusaidie juu ya hili.... Pole sana Jack nitafute yataisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.