Recent content by msaboi2020

  1. M

    GE2020 Kamati ya siasa CCM Mkoa wa Dar, acheni maamuzi ya kuangamiza chama jimbo la Ukonga, mnadhalilisha chama na Uongozi wa juu kwa rushwa!

    Wazalamo tunasema "Kalaga baho na ubozi wako" ! Mkoa ushaanua jamvi tangu Ijumaa baba, ngoma ishatua kwa Bashiru A Kakurwa !Hizi sio za kunyapia nyapia, ni "naked truth ". Tunaojua tunajua. Afu we Chipoku si uko mkoani wewe!?! Unajifanya mzalendo ? Nitafute kabla sijakutaja RASMI
  2. M

    Kalogeresi M/kiti CCM mkoa wa Morogoro amefanya udalali kufikisha rushwa ya Abood na Shabiby kwa wajumbe Kamati ya Siasa Mkoa na kwa Polepole

    Tr Kabisa mkuu ! NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUONESHA MSISITIZO. POLEPOLE H SI MSAFI HATA CHEMBE. NI MLA RUSHWA ZOTE YA NGONO NA FEDHA. KIPOCHI CHAKE NI MAGOTI, YULE MWENYE KILEMA CHA NUNDU YA MGONGO; MSAIDIZI WAKE NA NDIO MKUSANYAJI NA MTENGENEZAJI WA MAPATO YA H POLEPOLE. KIJIWE CHAO NI HARARE...
  3. M

    GE2020 Kamati ya siasa CCM Mkoa wa Dar, acheni maamuzi ya kuangamiza chama jimbo la Ukonga, mnadhalilisha chama na Uongozi wa juu kwa rushwa!

    Huu uwe PINNED kabisa ili wahusika waone aibu. Wako naked kabla ya mapendekezo hayajafika yaendako, shame on them CCM MKOA DSM !
  4. M

    GE2020 Kamati ya siasa CCM Mkoa wa Dar, acheni maamuzi ya kuangamiza chama jimbo la Ukonga, mnadhalilisha chama na Uongozi wa juu kwa rushwa!

    Hii ni aibu tena ya mwaka 2020 kwa CCM MKOA WA DSM KUPITIA JIMBO LA UKONGA. Mungu kawaumbua. Ripoti kabla haijafika wanakoipeleka CC kwa Honorable J P Magufuli na jopo lake ishavuja. Aibu sana sana kwa CCM Mkoa wa DSM, wajitafakari sana. Huyo Tukiko hata mtaani kwake hawamfahamu imembeba hela...
  5. M

    GE2020 Ukiukaji wa taratibu za Uchaguzi Jimbo la Ukonga

    KATIBU WA MKOA CHAMA CHA MAPINDUZI, S. L. P. 19989 DAR ES SALAAM 22/07/2020 Ndugu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam...
  6. M

    GE2020 Jimbo la Ukonga kuna shida, isiposhughulikiwa CCM tutampa tena mpinzani. Waliochukua fomu wengi ni mamluki wa tuliyemkataa 2015

    Ukonga ni miongoni mwa majimbo 3 ambayo yapo katika Wikaya ya Ilala. Wengi wa wakazi ni wa kipayo cha chini na wachache cha kati. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi, kama kawaida mengi hujitokeza. CCM Ilala, DSM na taifa wasipotafakari 2020 jimbo tutaligawa kwa Upinzani tena. Zaidi ya wanachama...
  7. M

    Mwita Waitara, pamoja na kuunga mkono juhudi barabara jimboni kwako ni mahandaki matupu

    Huku katuacha zaidi ya yatima. Ukonga mzima utadhani haipo dsm; kwenye mafrai ova na makorokoro mazuri mno. Any way tunaomba ccm ukonga& juu msitufanyie viroja sana ! Watia mshawajua tuleteeni anayejielewa. Kuna dada mmoja hapendi kujionesha , anaeleweka mno na ana nia ya ukonga ya kweli ! Yuko...
  8. M

    GE2020 TAKUKURU Ilala haifanyi kazi zaidi ya kutumiwa vibaya na Jerry Silaa

    2015 watu walitekwa na jerry hatari, 2020 atawaua kabisa . Hadi apate ubunge
Back
Top Bottom