Uongozi wa hii bank unatakiwa kutega sikio na kuwasikiliza kina kimei a wafuate watachoshauriwa. Bila hivyoo bank itashuka sana na vibenk vidg dg vitaanza pendwa na wateja zaidi ya hii crdb
H
Izo za pesa za kukata unaongelea labda zawalimu ama wafanyaakazi wa chini kbs kwenye taasisi. Hv unafahamu thaman ya 1b. Ukisema ule kila siku laki ili uimalize utakaa nayo miaka 27. Unadhan hao wana kimei wana B ngapi?? Siwanalisha ukoo wako wote mpaka mnakufa
Jidan
Jidanganye. Wafanyakazi serikalini, wanasiasa. Wako wenye mali na pesa ambazo huwez hata kuamini. Na hawaweki public. Zinasimamiwa na hwatu wengine tifauti. Then unafahamu maana ya hisa kwanza?? Na wana hisa kibao kwenye kampuni tofaut tifauti ndani na nje ya nchi
Kwan biashara yamtu mpka uijue ww ama mpaka azitangaze?? Kuwa ni zake?? Makampuni mangap hujui wamiliki wake?? Magorofa mangapi haujui wamiki?? Utumiage akili. Watu wana mali kibao magorofa ndani nje ya nchi.
We
Kiazi kwel. Yaan pesa alizonazo kimei baada ya miaka mi5 ziishe?? Hahaha hauna akili kbs. Mtu ana hisa zake nyingi pale crdb. Hata awe anakula bata miaka yote atabaki kuwa na maisha mazuri hadi wajukuu. Unafikiri alikua mwalamu ama askari?? Ulizia mshahara wa MD wa crdb ndo ujue km pesa...
Wakulungwa. Swali langu ni km nilivyouliza. Km mtu ana router na hana line. Kuna uwekano wwt wa kupata line ambayo itakua na vifurushi maalum kwa ajili ya router husijka?
Kwenye suala hilo mawakili wa lisu siyo waamuzi. Mahakama ndiyo inayoamua. So suala la muda unaliona ww ila Mahakama ina taratibu zake kwenye kutoa maamuzi ambazo ziko nje ya uwexo wa mawakili wa lissu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.