Lakini kumbuka sio lazima tufanane nao maana singapore si tu wanamfumo mzuri lakini mfumo huo uliekanyuma demokrasia na Lee kuan yew alikuwa anaongea wazi wazi kwamba demokrasia itapunzishwa kwa muda ndni ya singapore.
Tofauti ya hayo na pendekezo la katiba nililolitoa kwenye tovuti tajwa ni...
Perfect, lakini hilo aliwezi kutokea bila katiba imara.
Tembele www.katibampya.com kusoma katiba iliyo imara na inayoweza kuilazimisha mahakama kubaki kwenye mstari wake wa kikatiba.
Ndio baadhi ya nchi kama ujerumani na singapore wanayo mamlaka ya usimamizi wa misingi ya taifa lao, na si tu kama thme fulani bali mamlaka yenye kuhakikisha kila mamlaka imafanya kinachomuhusu pekee.
Kwa hapa kwetu bado hatuna mamlaka kama hiyo na ndio maana Rasimu ya katiba iliyo kwenye...
Ndio maana kila siku kwenye mabandiko yangu naimiza kuwepo na muhimili wa nne wenye kusimamia misingi ya taifa na katiba kwa ujumla, ambapo muhimili huo utahakikisha mihimili mingine yote inatenda kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria na si vinginevyo.
Changamoto tuliyonayo ni kukosekanika...
Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia barua iliyotolewa na Msajili wake C.M. Tengwa tarehe 12 Agosti 2026, imewaelekeza mawakili nchini kuepuka kuzungumza na vyombo vya habari katika maeneo ya mahakama mara baada ya mashauri kuahirishwa. Maelekezo hayo, yanayotegemea Kanuni ya 137 ya Kanuni za...
Ilimradi tu kudumisha maslahi ya chama fulani Cha Siasa, kwa mantiki isiyo ya kina kwamba Utulivu wa kitaarifa kwa jamii ya watanzania, inaweza kupunguza mashiniko ya wananchi kwa serikali iliyopo madarakani.
Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia barua iliyotolewa na Msajili wake C.M. Tengwa tarehe 12 Agosti 2026, imewaelekeza mawakili nchini kuepuka kuzungumza na vyombo vya habari katika maeneo ya mahakama mara baada ya mashauri kuahirishwa. Maelekezo hayo, yanayotegemea Kanuni ya 137 ya Kanuni za...
Naunga mkono hoja, Katika kila ulichosema hapa licha ya kwamba umesema kwa mtazamo wa kisiasa lakini unaonaesha wazi kwamba si tu tupate katiba bali tupate katiba iliyobora zaidi.
Kwanza kabisa, tujiulize kuhusu muundo wa Dola yetu.
Muundo Bora wa Muungano ni upi..? Na pendekezo langu la Dola...
Unayo haki na uhuru wa maoni, hakuna ibara wala kifungu cha sheria kinachosema kuwa mfuasi wa chama fulani kunakuondolea haki yako ya kikatiba na hata hile inayotambuliwa kisheria.
Chukua hatua ya kuwasilisha maoni yako upendavyo mladi tu hauvunji sheria.
chanzo: www.katibampya.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.