Staki kusema sana lakini naomba nikwambia mbka sasa mashaidi wa Jamhuri D1 na wengineo wameshapingwa chini coz Walikuwa Waalifu then wakawa mashaidi hii ina maana kwamba Walitishwa na mapolisi na kupewa ahadi ya kufutiwa kesi hili wawe mashaidi dhidi ya LISSU. Then hapo hapo walikuwa mashaidi wa...
Katuga anajaribu kuishawishi mahakama kwamba Ushaidi wa Shaidi huyu hauna hadhi ya kupokelewa na kutunika kwa sababu ya ........!
Katuga anatumia kigezo cha kumbukumbu na uwezo wa mtu kukumbuka jambo fulani, lakini anasahau kwamba Kutokukumbuka sio kosa kisheria. So Mahakama itaangalia je...
Usiwe na haraka ni kweli Golugwa anaonekana kutokujibu mambo vizuri hasa ya kikatiba ya Chadema. Ibara ya 6(2)(1) lakini hiyo sio mwisho.
Katuga anachofanya ni kuishawishi mahakama kwamba shaidi hajui anachokisema lakini bado haimaanishi kutokukumbuka basi wewe ni mkosaji kisheria. Kukumbuka ni...
Hahahaha, hapo watakuwa wanajitekenya wenyewe, yaani katibu mkuu asijue maswala ya Chama.
Yaani ni sawa na kusema katibu mkuu kiongozi wa ikulu asiwe na taarifa zinazoingia na kutoka ikulu........
Thats never happen
Faida aliyopata ni kuiambia wamagarib kwamba, kama mnatukataa huku tunapokelewa na ndio maana kwenye speach zake alisema neno linalotafsiriwa "Bendera inafuata upepe unapovuma", so alifuata upepo
Binafsi naona pengine ilikuwa danganya toto lakini danganya toto huwa inaacha halama, hatati inaweza kuwa pale watanzania watakapoona kwamba ilani ya CCM, CCM mwenyewe na ahadi za tutaanzisha mchakato ni danganya toto hata kama akitokea mtu atakaekuwa tayari kwa dhati ataonekana muongo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.