Recent content by mrxtz2026

  1. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Staki kusema sana lakini naomba nikwambia mbka sasa mashaidi wa Jamhuri D1 na wengineo wameshapingwa chini coz Walikuwa Waalifu then wakawa mashaidi hii ina maana kwamba Walitishwa na mapolisi na kupewa ahadi ya kufutiwa kesi hili wawe mashaidi dhidi ya LISSU. Then hapo hapo walikuwa mashaidi wa...
  2. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Katuga anajaribu kuishawishi mahakama kwamba Ushaidi wa Shaidi huyu hauna hadhi ya kupokelewa na kutunika kwa sababu ya ........! Katuga anatumia kigezo cha kumbukumbu na uwezo wa mtu kukumbuka jambo fulani, lakini anasahau kwamba Kutokukumbuka sio kosa kisheria. So Mahakama itaangalia je...
  3. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Usiwe na haraka ni kweli Golugwa anaonekana kutokujibu mambo vizuri hasa ya kikatiba ya Chadema. Ibara ya 6(2)(1) lakini hiyo sio mwisho. Katuga anachofanya ni kuishawishi mahakama kwamba shaidi hajui anachokisema lakini bado haimaanishi kutokukumbuka basi wewe ni mkosaji kisheria. Kukumbuka ni...
  4. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Mbaka sasa. Mwinuka 10% Golugwa 90% ngoja tuone kwa Katuga na Golugwa.
  5. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Sijawai kuwa na wasi wasi na uwezo wa Golugwa
  6. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Hahahaha, hapo watakuwa wanajitekenya wenyewe, yaani katibu mkuu asijue maswala ya Chama. Yaani ni sawa na kusema katibu mkuu kiongozi wa ikulu asiwe na taarifa zinazoingia na kutoka ikulu........ Thats never happen
  7. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    JamiiForums tuwekeni uzi huu live ili twende na kasi halisi
  8. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Faida aliyopata ni kuiambia wamagarib kwamba, kama mnatukataa huku tunapokelewa na ndio maana kwenye speach zake alisema neno linalotafsiriwa "Bendera inafuata upepe unapovuma", so alifuata upepo
  9. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni miongoni mwa viongozi mashujaa na madhubuti sana barani Afrika

    What about shot to kill.? Sisemi ni muhusika kamili lakini unachokizungumzia ni ndani ya wakati wake, so usisahau na hilo pia.
  10. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

    Binafsi naona pengine ilikuwa danganya toto lakini danganya toto huwa inaacha halama, hatati inaweza kuwa pale watanzania watakapoona kwamba ilani ya CCM, CCM mwenyewe na ahadi za tutaanzisha mchakato ni danganya toto hata kama akitokea mtu atakaekuwa tayari kwa dhati ataonekana muongo kama...
  11. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030

    Ngoja tuone
Back
Top Bottom