Recent content by mrxtz2026

  1. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    This is too much now, Mbaka sasa tuna asilimia 52% tupo kwenye dictectorship country
  2. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Kitima asante sana kwa kutete na kulinda haki za msingi za binadamu, Umeniwakilisha vyema kwenye hili.
  3. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Asante sana Wakili madeleka, umemiwakilisha vyema kwenye hili.
  4. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Kemea uvunjifu huo wa katiba, hatuwezi kukubariana na maswala kama haya.
  5. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Lakini kumbuka sio lazima tufanane nao maana singapore si tu wanamfumo mzuri lakini mfumo huo uliekanyuma demokrasia na Lee kuan yew alikuwa anaongea wazi wazi kwamba demokrasia itapunzishwa kwa muda ndni ya singapore. Tofauti ya hayo na pendekezo la katiba nililolitoa kwenye tovuti tajwa ni...
  6. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Perfect, lakini hilo aliwezi kutokea bila katiba imara. Tembele www.katibampya.com kusoma katiba iliyo imara na inayoweza kuilazimisha mahakama kubaki kwenye mstari wake wa kikatiba.
  7. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Ndio baadhi ya nchi kama ujerumani na singapore wanayo mamlaka ya usimamizi wa misingi ya taifa lao, na si tu kama thme fulani bali mamlaka yenye kuhakikisha kila mamlaka imafanya kinachomuhusu pekee. Kwa hapa kwetu bado hatuna mamlaka kama hiyo na ndio maana Rasimu ya katiba iliyo kwenye...
  8. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Ndio maana kila siku kwenye mabandiko yangu naimiza kuwepo na muhimili wa nne wenye kusimamia misingi ya taifa na katiba kwa ujumla, ambapo muhimili huo utahakikisha mihimili mingine yote inatenda kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria na si vinginevyo. Changamoto tuliyonayo ni kukosekanika...
  9. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia barua iliyotolewa na Msajili wake C.M. Tengwa tarehe 12 Agosti 2026, imewaelekeza mawakili nchini kuepuka kuzungumza na vyombo vya habari katika maeneo ya mahakama mara baada ya mashauri kuahirishwa. Maelekezo hayo, yanayotegemea Kanuni ya 137 ya Kanuni za...
  10. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Ilimradi tu kudumisha maslahi ya chama fulani Cha Siasa, kwa mantiki isiyo ya kina kwamba Utulivu wa kitaarifa kwa jamii ya watanzania, inaweza kupunguza mashiniko ya wananchi kwa serikali iliyopo madarakani.
  11. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Barua ya Mahakama Kuu Yazua Mjadala: Je, Katazo kwa Mawakili Linakiuka Uhuru wa Kujieleza Chini ya Ibara ya 18 na Kuvunja Ibara nyinginezo za Katiba?

    Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia barua iliyotolewa na Msajili wake C.M. Tengwa tarehe 12 Agosti 2026, imewaelekeza mawakili nchini kuepuka kuzungumza na vyombo vya habari katika maeneo ya mahakama mara baada ya mashauri kuahirishwa. Maelekezo hayo, yanayotegemea Kanuni ya 137 ya Kanuni za...
  12. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Muungano, CCM na katiba ya mwaka 1977 ndio maadui wakubwa wa Tanganyika

    Naunga mkono hoja, Katika kila ulichosema hapa licha ya kwamba umesema kwa mtazamo wa kisiasa lakini unaonaesha wazi kwamba si tu tupate katiba bali tupate katiba iliyobora zaidi. Kwanza kabisa, tujiulize kuhusu muundo wa Dola yetu. Muundo Bora wa Muungano ni upi..? Na pendekezo langu la Dola...
  13. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Paradox ya CCM - "Britanicca"

    Unayo haki na uhuru wa maoni, hakuna ibara wala kifungu cha sheria kinachosema kuwa mfuasi wa chama fulani kunakuondolea haki yako ya kikatiba na hata hile inayotambuliwa kisheria. Chukua hatua ya kuwasilisha maoni yako upendavyo mladi tu hauvunji sheria. chanzo: www.katibampya.com
Back
Top Bottom