Recent content by Mrs Van

  1. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Poleni wenye changamoto hiyo
  2. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Unaishije na Vijana Balehe?

    Umri wa balehe hasa kwa wasichana ni balaa. Mtoto anaamka kakununia mzazi. Ukimwelekeza kitu anaona unamchelewesha. Ukimsema mdomo unarefuka kama samaki chuchunge.
  3. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania kuvaa nguo fupi inatafsiriwa ni uhuni ama umalaya?

    Siku hizi watu wanavaa tu sema ufupi wa club sio ufupi wa kariakoo. Zamani bibi zetu walikua wanavaaga nguo fupi na kuvuta sigara. Miaka ya kati ikawa kufanya hivyo ni uhuni ila siku hizi wadada wanavaa nguo fupi sana tu na sigara wanavuta fresh. Nenda kwenye banks, hotels etc. viskirt vifupiiii.
  4. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Ngoma zimeanza usiku huu katika kanisa la walokole

    Hapo ndipo huniacha hoi sana
  5. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje ili niweze kupakua videos youtube kwa kutumia PC?

    Kuna moja nimekua nikitumia ila siku hizi unalipia. Ila zipo app nyingi wewe ingia google search utapata
  6. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Mazuri na mabaya ya damu group O

    Hivi inawezekana mtoto mmoja kati ya watano akawa na kundi O huku wazazi na watoto wengine wanne wakawa na kundi la damu tofauti?
  7. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Muungano wetu na methali ya mchelea mwana kulia, hulia mwenyewe

    Arudi kwao hatumtaki yeye na huo muungano
  8. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Single Mother ananiwekea Vikwazo kuonana na mtoto wangu

    Ukampigia simu akakujibu shirt😂😂 Hii ni chai kama zilivyo chai nyingine. Day care ya kijiji cha wapi wanatoza 25K?
  9. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Muungano wetu na methali ya mchelea mwana kulia, hulia mwenyewe

    Muungano ufe tu
  10. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kuanza kuandamana, tuanze na wazanzibar kukataa kushirikiana nao kwa jambo lolote lile

    Chizi anachekesha kama hatokei kwenu
  11. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Naomba kusikia kutoka kwa watu wengine ambao labda wamepitia maumivu makubwa ya kupoteza wapendwa wao au kuona ndugu zao wakiteseka hospitalini

    Pole sana. Msiba usikie kwa jirani usitokee kwenu. Ukisikia kulia wewe lia tu, wakati ndio utakusaidia.
Back
Top Bottom