Hili la mabus yote kuanzia mbezi ni shida nyingine.
Kuna siku nikasema ngoja nipande bus kwenda moro nikapandia shekilango tukapelekwa mbezi. Nikaenda chooni, mpokea hela anasema maji hamna. Kwahiyo ukitaka kujisaidia ununue maji dukani halafu ulipe tena kuingia chooni. Vyoo ni vichafu havina...
Yani walimu wameshindwa kushauri kitu cha kufanya zaidi ya kukwambia umuhamishe mtoto?
Walimu wanawajua watoto wetu zaidi ya tunavyowajua sisi. Shirikiana na walimu vizuri utapata ufumbuzi.
Umri wa balehe hasa kwa wasichana ni balaa. Mtoto anaamka kakununia mzazi. Ukimwelekeza kitu anaona unamchelewesha. Ukimsema mdomo unarefuka kama samaki chuchunge.
Siku hizi watu wanavaa tu sema ufupi wa club sio ufupi wa kariakoo.
Zamani bibi zetu walikua wanavaaga nguo fupi na kuvuta sigara. Miaka ya kati ikawa kufanya hivyo ni uhuni ila siku hizi wadada wanavaa nguo fupi sana tu na sigara wanavuta fresh.
Nenda kwenye banks, hotels etc. viskirt vifupiiii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.