Recent content by Mrs Van

  1. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Kwanini?. Kwamba mnywa juice hafi😃😃
  2. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Tangu najitambua ndio kinywaji changu pendwa. Nikitoka out mara nyingi ni mocktail tu
  3. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Maria na Yosefu 😃
  4. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Hahaaa mie ni wa juice tu
  5. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Nipo home nasikiliza old bongo fleva.
  6. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Bei mpya za Mafuta mwezi Mei zatangazwa, Petroli yazidi kupanda hadi 4115, Diseli 4248

    Aiseee hali itakua mbaya sana
  7. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Achana na mageti ya chuma. Siku hizi kuna milango ya mbao quality. Mapesa yako tu
  8. Mrs Van

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Akili ndio itakukaa vizuri ukijitegemea. Maana ukizoea kua tegemezi ni mbaya hata kwenye familia yako baadae. Maisha yana kupanda na kushuka, inaye mtegemea siku akipata changamoto itakuaje?
  9. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Azim Dewji: Iran walitusaidia, ni muda wa kuwaunga mkono

    Huyu babu mbona amekua na kiherehere sana
  10. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya nchi za Afrika zikipambana kwa kupunguza ushuru ili bei ya mafuta isipande Mamlaka za Tanzania zenyewe zinapandisha bei

    Jana vituo vya mafuta vilijaa watu walikua wanashindilia mafuta😅
  11. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Morogoro ndio imebarikiwa.
  12. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna madanguro ya wanaume kujiuza na wanawake wanawanunua?

    Usimsikilize huyo. Mwenye mada kaspecify kabisa wanaume wanaojiuza halafu wanawake wanaenda kuwanunua. Sema huyo kataka kuvulagiza wenzie tu.
  13. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Bei juu " Wagosi wa kaya"

    Umenikumbusha wimbo wa wauguzi, kero (umeme na maji), traffic. Ni nyimbo za kitambo ila zinaishi kwenye uhalisia mpaka leo.
Back
Top Bottom