Recent content by Mrs Van

  1. Mrs Van

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Kwenye hii thread nimejifunza kuweka akiba ya maneno na kuto comment kabla ya kupata taarifa kamili. Sio kwa plot twist iliyotokea
  2. Mrs Van

    Kwanini Diamond platnumz anajitenga sana na wasanii wenzie

    Ujinga mtupu kama ID yako.
  3. Mrs Van

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Hata wao kuna wanao fake. Uliifuatilia saga ya Johnny Depp na Amber Heard?
  4. Mrs Van

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Kila kona ni balaa
  5. Mrs Van

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Ndoa ilimfanya ndugu yangu ahame dhehebu. Mtu ukiwa kwenye ndoa unawaambia wengine ndoa chungu ila kutoka hutoki.😂😂😂
  6. Mrs Van

    Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Wajapan wanakuaga na vitu vizuri sana
  7. Mrs Van

    Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Ya kijapan itakua nzuri tu japo sijaiona
  8. Mrs Van

    Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Ila wazenji tunavyowa treat kama mwanamke asiyekutaka waziwazi lakini wewe unamng'ang'ania. Kwetu wanapaita Tanzania bara kwao ni zanzibar. Si uvunjwe tu huu muungano kila mtu abaki nchini mwake
  9. Mrs Van

    Umewahi kuingiliwa biashara na jirani / mshindani anaeuza kwa bei za chini mno ili kukuibia wateja, kukuondoa, kukuumiza , n.k. ulitoboa?

    Ukijidai ushushe zaidi yake utaumia. Huyo ameweka bei ya chini ili kuvutia wateja baadae atapandisha tu.
  10. Mrs Van

    Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

    Ila wanaume mna mahangaiko
  11. Mrs Van

    Mtu mwenye Ualbino ni mlemavu au sio mlemavu?

    Mbona mwanya na dimples navyo ni vilema?
  12. Mrs Van

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Eeeh kutoka kwa wanawake mbalimbali wanaolia na ndoa.
  13. Mrs Van

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Wanaume wapeno attention wake zenu. Kukosa kuwapa attention ndio kuzaa kuchepuka.
Back
Top Bottom