Recent content by Mrs Van

  1. Mrs Van

    Hivi kuna madanguro ya wanaume kujiuza na wanawake wanawanunua?

    Usimsikilize huyo. Mwenye mada kaspecify kabisa wanaume wanaojiuza halafu wanawake wanaenda kuwanunua. Sema huyo kataka kuvulagiza wenzie tu.
  2. Mrs Van

    Bei juu " Wagosi wa kaya"

    Umenikumbusha wimbo wa wauguzi, kero (umeme na maji), traffic. Ni nyimbo za kitambo ila zinaishi kwenye uhalisia mpaka leo.
  3. Mrs Van

    Hivi kuna madanguro ya wanaume kujiuza na wanawake wanawanunua?

    Nchi za watu zipo hizo mambo. Kina pro gigolos oneni fursa hiyo mfungue hamuwezi kosa wateja
  4. Mrs Van

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Utashindwa wewe. "Unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako". Afya sio mpaka maini hata akili inaweza kua hatarini
  5. Mrs Van

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Hii ndio akili ya pombe. Kweli pombe mbaya
  6. Mrs Van

    Kutofautisha mchemsho na supu ni utapeli mkubwa uliobuniwa na wauza chakula

    Hata mimi iliwahi nikuta hiyo ndio nikajifunzia hapo. Unaagiza kitimoto rost unaletewa kavu
  7. Mrs Van

    Kutofautisha mchemsho na supu ni utapeli mkubwa uliobuniwa na wauza chakula

    Huwezi fananisha mchemsho na supu. Supu hata maharage inayo. Ukila mchemsho tayari umekula msosi full maana unakula nyama, viazi, ndizi, kabichi etc. Ila supu lazima uagize na chapati ili ushibe vizuri. Umenikumbusha mchemsho wa chimbo moja sinza makaburini. Ngoja niudamkie kesho.
  8. Mrs Van

    Kutofautisha mchemsho na supu ni utapeli mkubwa uliobuniwa na wauza chakula

    Unatakiwa uongee lugha kuendana na mahali ulipo. Ukienda mikoa ya kaskazini vya kuroast ni vya kukaanga ila ukienda dar, moro and so vya kuroast ni vyenye mchuzi shata shata.
  9. Mrs Van

    Wapangaji wenzangu, mnakabiliana vipi na jirani asiyetaka kulipia bili ya maji na umeme?

    Bomba maji lipige kufuli. Akitaka kutumia maji muuzie kwa ndoo. Mambo mengine mshirikishe mwenye nyumba. Watu mnajua kuvumilia
  10. Mrs Van

    JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

    Sasa hao ndio wamefanya hata ambao hawakufuatilia wakafuatilie jinsi waziri alivyo ona wivu sababu hakupigiwa makofi
  11. Mrs Van

    Maarifa ya kiroho: Karibu tuzungumze tuelimishane

    Mpaka mashuka ya ndugu? Ndugu mwenyewe anayekutembelea unakuta mama ako mzazi au ndugu zako wa damu😂
Back
Top Bottom