Recent content by Mrs Van

  1. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Dua Lipa ni mzuri sana

    Aaah wapi. Macho yako hayaoni vizuri
  2. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Dua Lipa ni mzuri sana

    Labda vingine ila sura hapana. Mmh😳
  3. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Dua Lipa ni mzuri sana

    Mbona wa kawaida
  4. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Kumbe "Assalamu alaykum" ndio salamu ya Watanzania ?

    Hiyo ni salamu ya kiarabu. Sema sasa wale wanaotumia kiarabu kwenye dini yao ndio wanafikiri ni salamu ya kidini. Japo mimi mtu akinisalimia hivyo namjibu kwa kiswahili.
  5. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Kwanini?. Kwamba mnywa juice hafi😃😃
  6. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Tangu najitambua ndio kinywaji changu pendwa. Nikitoka out mara nyingi ni mocktail tu
  7. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Maria na Yosefu 😃
  8. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Hahaaa mie ni wa juice tu
  9. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania It's Friday it's okay🍻 ndio imeanza hio unainjoi weekend ukiwa wapi?

    Nipo home nasikiliza old bongo fleva.
  10. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Bei mpya za Mafuta mwezi Mei zatangazwa, Petroli yazidi kupanda hadi 4115, Diseli 4248

    Aiseee hali itakua mbaya sana
  11. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Achana na mageti ya chuma. Siku hizi kuna milango ya mbao quality. Mapesa yako tu
  12. Mrs Van

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Akili ndio itakukaa vizuri ukijitegemea. Maana ukizoea kua tegemezi ni mbaya hata kwenye familia yako baadae. Maisha yana kupanda na kushuka, inaye mtegemea siku akipata changamoto itakuaje?
  13. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Azim Dewji: Iran walitusaidia, ni muda wa kuwaunga mkono

    Huyu babu mbona amekua na kiherehere sana
  14. Mrs Van

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya nchi za Afrika zikipambana kwa kupunguza ushuru ili bei ya mafuta isipande Mamlaka za Tanzania zenyewe zinapandisha bei

    Jana vituo vya mafuta vilijaa watu walikua wanashindilia mafuta😅
Back
Top Bottom