Recent content by Mrs salvador

  1. Mrs salvador

    Lukamba Vs Kifesi

    Na mimi nilijuaga ni me
  2. Mrs salvador

    Jacky Mengi na Umaarufu wa kutisha.

    Wamachame hawamnyang'anyi mjane Mali hata kama hajaandika hawatagusa maadam huyo mama ana watoto wakutunza na kusomesha.
  3. Mrs salvador

    Zari Amvaa Mange Kimambi..

    Swali la kizushi uko upande upi?@warumi Mange au Zari😂
  4. Mrs salvador

    Zari Amvaa Mange Kimambi..

    Warumi kumbe wewe ndo unatia petrol hili saga?
  5. Mrs salvador

    Sherehe ya 40 ya Mtoto wa Zamaradi Mketema

    [hhuQUOTE="Mzigua90, post: 27718776, member: 248688"]Nashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake huyo chausiku kapiga kushida chake wala hana habaree
  6. Mrs salvador

    Mzee wa Upako: Nampenda Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu, simpendi Alikiba ni kiburi

    Usimtegemee Mwanadamu akuonyeshe njia ya Mbinguni soma neno la Mungu likae kwa wingi ndani yako ili uachane na injili za miujiza na kuombewa,Tujifunze KUOMBA NA KUJIOMBEA WENYEWE.Common sense ni muhimu.Maana sasahivi mi naona kama kuna kitu kama Church Bussness.Usipotumia akili utajikuta...
  7. Mrs salvador

    Mzee wa Upako: Nampenda Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu, simpendi Alikiba ni kiburi

    AHAAA HAAAA AHAAA.Watu tutumie tu common sense tusilalamike.
  8. Mrs salvador

    Kwanini mwanaume ukikosa kazi mwanamke anakusimanga sana?

    bado tunasubiri hicho kisa flan.Hata wiki iishe tutasubiri tu.
  9. Mrs salvador

    Prince Harry anapenda dark skin

    Mmhh basi ana history nzuri sana ya jeshi wanawake weusi na kuoa weusi tofauti na maprince walivyotegemewa
  10. Mrs salvador

    Kwanini mwanaume ukikosa kazi mwanamke anakusimanga sana?

    Putin na wengine wote ambao hamjaoa muombe Mungu akupe mke mwema maandiko yanasema hutoka kwa Mungu.Huyo uliyenaye hata kama una uhusiano naye wa miaka 10 humjui wala humfahamu hata nusu ukishaoa tu na ukaanza kupitia changamoto za hapa na pale katika ndoa ndo utaelewa uko na mtu wa aina...
  11. Mrs salvador

    Mahusiano na mapenzi yakifikia ukomo; Kumbe kuna wanaume wanaangua kilio hadharani namna hii

    Mi nimecheka hapo anapoomba password ya kufuta picha.
  12. Mrs salvador

    TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

    R I P Agie.Mshana chuma hicho kinakuja ofisini kwako kwa mama ngoma hamna Jokofu.
  13. Mrs salvador

    Lulu asherehekea Birthday yake kivingine, Japokuwa ni Mfungwa

    Ila very nice nimekupenda bure ulivyoreact.Imependeza kwakweli tofali naye atakuwa amecheka tu
  14. Mrs salvador

    Lulu asherehekea Birthday yake kivingine, Japokuwa ni Mfungwa

    Ahaaaa ahaaaamechekaa mpaka machozi.
Back
Top Bottom