Nina Certificate ya IT na nataka niitumie kujiajiri hivohivo, kazi hakuna, sasa natafuta wenzangu wenye mpango kama wangu, wa kujiajiri. Naomba tutaftane ili tusaidiane mawazo, mi binafsi nataka kuwekeza kwenye Mambo Ya Graphics, hata kama hatuna pesa najua tukiwa karibu tunaweza kufanya kitu...