Pia mtuhumiwa ana haki ya kufungua kesi ya madai kwa askari au afisa wa polisi endapo atampiga,atamsababishia maumivu au majeraha mwilini wakati kumfikisha kituoni. Pia wakati wa kutoa maelezo askari anapaswa ajitambulishe na cheo chake, kwa sababu askari anaeruhusiwa kukuhoji ni mwenye...
Ni kweli kabisa waziri pinda hajaeleweka mtwara kwani alipofika mtwara aliambiwa kama amekuja kumaliza tatizo wote waliokamatwa mtwara na masasi sakata la gesi waachiwe huru lakini rais wake amesema wachukuliwe hatua so issue will still grow up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.