Umeelezea vizuri sana mzee baba, maelezo yako yanatosha kumuwezesha kila mmoja atoe hitimisho lake. Kama alivyowahi sema mzee Kikwete akili za kuambiwa ongeza na za kwako...
Hayo maelezo ya CDF yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Maana kuharisha na kutapika inawezekana pia ni "Rhabdomyolisis" hali ambayo hupelekea "Acute kidney failure", kwa kesi ya vijana moja kwa moja ni mazoezi ya kupitiliza kutoka kwa maafande. Uchunguzi huru unahitajika
na wa kuwajibishwa...
Unalosema lina mantik, maana ni waislamu waliokuwa wanapinga kila kitu cha wakoloni kwa kuhofia mila, utamaduni na dini yao kufutwa na mfumo uliotawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.