(Kesi ya Juliana Shonza haiwezi kamwe kuendeshwa na Heche ukatarajia haki ionekane kutendeka. Hilo moja)
Ndugu Ganji
Aliyemuhukumu Juliana Shonza, Mchange na Mtela siyo Heche, waliohukumu ni wajumbe kamati tendaji ya BAVICHA.. Na kamati Tendaji ni lazima ipitie kwanza mapenmdekezo ya ripoti...
CCM watamsaidia Kibaraka wao Mrema kupata jimbo analolitaka ili waoneshe sura mpya ya UPINZANI. Kwania akili za wana CCM tunazifahamu kwa muda mrefu sasa. Hayo yote Mrema anayoyasema yanatokana na mafunzo anayopewa na CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.