Recent content by MrGeneous

  1. MrGeneous

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini All the best wadau [emoji120][emoji120]
  2. MrGeneous

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Duh Magereza wanayumba[emoji849][emoji849]
  3. MrGeneous

    Mwalimu wa Mathematics anatafuta kazi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]i like your answer[emoji1683][emoji1683]
  4. MrGeneous

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ngoja tusubir mkeka mkuu....mimi nime-share tuu kile nilichoambiwa kaka
  5. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    mh hizi data za uongo umetoa wapi aisee????
  6. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    karibia kozi zote skuhiz graduates ni wengi sema hio clinical Officer imeanza kua na magraduates wengi miaka hii ndio maana watu wanashangaa NB:HAKUNA KWENYE UNAFUU SKUHIZI NI CONNECTION NA KUOMBA MUNGU TUU KWENYE ISSUE ZA KAZI
  7. MrGeneous

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    [emoji28][emoji28]
  8. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    supp mbona ni kawaida chuoni mkuu...
  9. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    kama mtoto ana ndoto za kuwa daktari msapport tuu,mambo ya ajira yatajulikana mbele kwa mbele
  10. MrGeneous

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Naombeni munieleweshe ....hivi wale wasemaji wa jeshi wanakua wamesomea taaluma gani wale Kwa anaefahamu wakuu[emoji120]
  11. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    Naimani hawa wanawazungumzia ma-clinical Officers
  12. MrGeneous

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    mimi nadhani labda wanawazungumzia clinical Officer ndio hua wanalipwa pesa hizo Lakini MD...6 years mh sitaki kuamini hili
Back
Top Bottom