Habari, ahsanteni sana kwa kureply post yangu, bila shaka nimepata elimu na nitaifanyia kazi... Ila naomba na hili la gari kutembelea 4wd, ni iyoiyo toyota wish, katika dashbod haiondoki alama ya 4wd, ila kuna button ya automatic 4wd nikiiclick sioni tofauti..
Habari wataalam, polen sana kwa kuumiza vichwa kuakikisha mnatoa msaada kwa matatizo ambayo yanatukumba madereva, mungu atakulipeni.
mi nna shida moja, gari yangu ni raum, mwanzo ilikua ukifunga mlango wa kuchoto kuna loki inajiingiza ambayo ni tofauti na ile ya kawaida katika kitasa, lakini...
Ahsanteni sana kwa coments, pia samahani sana kwa kutuma tatizo bila kusalimia ikiwa ni memba mpya pamoja na kua mfuatiliaji sana wa huu mtandao- tuko pamoja
Mimi gari yangu ni toyota raum, ilikua ikifanya ivo nikasafisha plug naona sasa haifanyi, lkn pia sijaridhika nitaenda kufuatilia na masuala ya fuel pump n.k kutokana na ushauri nliousoma humu. ilifikia wakati haichanganyi na pia ukitaka kuondoka tu inazima au saanyengine inazima kwenye mwendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.