nasikitika sana kumuona Raisi wangu nachangia pesa? tena dola $100? hamwezi kuwa serious so hiyo $100 ikitolewa kuna chakuna na vinywaji? au mnampa Rais Kikwete au waandaaji? ACHENI WIZI DMV
Pamoja na sifa nyingi ambazo amejizolea mwanamuziki Naseeb Abdul "Diamond" ni kweli ana kipaji na pia anajituma katika kazi zake. Ila asisahau kwamba hatua aliyofika leo pamoja na kujitahidi kwake kuna mkono wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu
Kwanini nasema hivi? kuna waimbaji wengi wanaimba...
Hii topic kuhusu Zitto Kabwe niliweka katika ukurasa wangu wa Instagram nikisema ni mmoja ya vijana wenye ushawishi mkubwa kisiasa nchini na alipelekea vijana wengi kujiunga na Siasa tofauti na hapo mwanzo vijana wengi walikuwa woga.
Nimejifunza mengi kutokana na maoni mbali mbali asilimia...
Katika ukurasa wa Instagram mrekebishatabia aliandika hivi:-
Yes. Kuna watu hawaelewi kwanini au why now.. tunampenda sana Wema Sepetu binafsi mimi kama mrekebishaji sifurahii kuona mtu ambaye wengi wanamuona role model wao anapotea, mtu mwenye talents anazichezea! Hata kama ni zake lakini kuna...
Nampenda sana Millard Ayo nilijua ana kitu cha tofauti tangu anaanza kazi ya utangazaji.
Sio kwamba nilivutiwa na story yake aliyopitia.
Jamani anastahili credit nyingi sana.
Habahatish anaanda habari za uhakika, ataenda eneo husika, atatafuta wahusika hata kama ni mazingira hatarishi...
Hi Sporah! hongera kwa kuwa na kipindi chako kwa TV, ni hatua kubwa sana. Umeweza!! Japokuwa tunafurahia baadhi ya shows lakini nyingi zinaboa! Yeah unatafuta viewers lakini kwa njia ya uchonganishi haipendezi. Mfano: why don't you stick kwa theme ya mahojiano? Unamhoji fulani then unamuingiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.