Tusiongee vitu visivyo na uhakika na ukweli ndani yake. Bakhresa ni mlipaji kodi mzuri na anajipatia Mali zake kwa uhalali kabisa ni muislam swafi huyu Mzee. Mimi ninafanya kazi kwenye moja ya biashara zake kitengo cha mapato hivyo basi naelewa nini ninasema. Lini wafanyakazi wa Bakhresa group...
Habari zenu wakuu, naomba kujua kuhusu chanjo ya homa ya manjano kwa wanaosafiri ni wapi inatolewa na kwa siku gani na gani.
Pia kwa mwenye kujua hospitali ya Apollo iliyoko Chennai nchini INDIA gharama zake na huduma kwa pamoja.
Na jinsi ya kupata VISA pia kwa ajili ya kwenda kutibiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.