sasa kama katibu mkuu hafanyi nani afanye ili kuokoa jahazi.?ndio maana ya hapa kazi tu.Naibu waziri anaonesha njia ili wote wafuate.Balozi Sefue sasa hivi anaendana na kasi vizuri sana lkn ni baada ya kuona Rais anataka nini.
foleni sio excuse mzee.huku private coys mbona watu wanawahi kazini tu tena mapema sana na jiji ni hili hili.jiadjust mwenyewe kukwepa foleni.ukweli ni kwamba serekalini huo uzembe upo na ni bora udhibitiwe
Hivi watanzania mmelogwa wapi.?Alichokifanya Kigwangala ni sawa kabisa tena tumpongeze.Hawa matapeli ni wengi sana hapa mjini.Kama sasa hivi mnawatetea matapeli basi mda si mrefu mtawatetea mafisadi.Kama ni Dr kweli mwenye vigezo na lisence zote kwa nini Anakimbia??
Mimi kila siku nasema hawa jamaa ni kakikundi fulani kawahuni wa barabarani tu.yani Magufuli kawachanganya kabisa,kama kujiorganize wenyewe mnashindwa sembuse kuongoza nchi.??hahahaha
Bora uwaeleze kamanda,watu wanatafuta sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.Magufuli amewachapa kisawa sawa hawa ukawa.JPM ndiye rais wa nchi hii kwa miaka kumi ijayo kama hamtaki hameni nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.