Umesema vyema mkuu, lazima kwanza tujitume sisi wenyewe lazima tufanye kazi kwa moyo wote, tupo duniani kufanya KAZI na ndo maana ata mungu alipomuumba Adam alimuweka kwenye bustani ya edeni aitunze .inasikitisha xana unakuta watu asubuhi MPAKA jioni wanabishana kuhusu Simba na yanga. Watanzania...
Vizuri sana mkuu, katika vita vya kupambana na umasikini inahitaji kutumia nguvu kubwa sana ili kuweza kushinda vita. Lazima tufanye kazi. Na sio kazi tu but smart..
Ni kweli kabisa kwa sasa tunahitaji KATIBA MPYA mambo mengi sana ndani ya KATIBA ya MWAKA 1977, yameshapitwa na wakati na yanahitaji kufanyiwa marekebishi.hasa kuhusu huu mgawanyo wa serikali na madaraka kwenye muungano , kwann Zanzibar Ina serikali yake lakini tanganyika Haina? Tuna serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.