jamani hii ni mara ya pili naandika kutafuta wenzangu tuliopangiwa ILEJE HIGH SCHOOL au hata yeyote anayeifahamu vizuri, maana jana nimesoma kuanzia page ya kwanza mpaka ya 12 sijamuona hata mmoja.
mkuu nimepangiwa hapo, naomba kujua kama kuna umeme na maji na pia naomba kujua kama kuna mchepuo wa CBG pia ni single au mixer? Ahsante. Namba ya simu ni 0718532828 kwa maelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.