Recent content by Mr Who is

  1. M

    Wake zetu msipobadilika mtaibiwa waume zenu tu, na si wabaya kama mnavyofikiria

    Pole ila nakushauri mke ni mpenzi wa moyo wako hivy tafuta mahali tulivu mtoe out mpe nafasi aseme namna anavyojifill Unajua mapenzi yanahitaji kuzungumza kila wakat na kukumbushana mambo ya msingi Acha hasira naamin mkiongea mtayamamliza maana naamini yey kama yy atakuwa na ushauri na kusema...
  2. M

    Kituo cha Lugha Kwanza®

    Sawa kabisa ntawatafuta nahitaji kuongeza kingereza changu
  3. M

    Atunukiwe PhD Mwl. Christopher Mwakasege

    Hawawezi kumpa kwasababu anachoma mioyo yao na kugundisha kwel,angekuwa yupo kimaslai binafsi wangeshampa But acha apige kazi heshima anayoipata mbele za Mungu ni zaidi ya heshima za wanadamu
  4. M

    Ujenzi wa barabara ya Kigogo - Tabata

    Ni kwel kabisa hali ni mbaya sana na licha ya maji barabara ni fupi sana lkn muda uliotumika had sasa ilitosha kabisa kumaliza lkn had leo wanamwaga vumbi wasilolihudumia
  5. M

    Tujadili makato ya LUKU katika manunuzi ya Umeme (Service Charges)

    Jaman ni hatat hiz gharama sasa hiv ukinunua mwanzo wa mwezi bila elfu kumi hupati umeme tena unapata unit 8 baada ya hapo ukinunua wa elfu kumi unapat unit 26 wakat zaman hata kama mwanzo wa mwezi elfu 5000 unapata unit 1 sasa hiv kama unanunua mwanzo wa mwezi elfu tano hupati kitu unaambia...
  6. M

    Ohoo! Mtumishi wa Mungu anaswa na mke wa mtu !

    Hii ni hatari sana na ni aibu lkn hata hao wanaopiga wenzao picha na kuongoza kwenda kuwaweka magazetini je ni wakamilifu mbele za Mungu Yesu aliwaambia jamaa kwenye biblia kama kuna mtua anajihisi hana dhambi na awe wa kwanza kumpiga mawe mwanamke huyu. unajua hata kama kafanya kosa je kwa...
Back
Top Bottom