Yer bajet yake ni simpo ninaweza sema kwamba ambavyo utahitaji na ndivyo bajeti itakavyokuwa kiongozi kwa sababu saloon ni namna ww binafsi utaamua iweje so ni simpo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mzoefu na ni hodari kwa kazi hii.
Nina muda mrefu nayo na nimeweza kuwa na wateja wengi sana. Napatikana Kinondoni kwa wakazi wa Mkwajuni.
Garden Mwananyamala na viunga vyake wanafahamu kazi ya mikono yangu bila shaka Mr Way. Kwa yeyote mwenye kunihitaji tafadhali anicheki inbox tuweze...
Kiwanja changu nimenunua miaka minne iliyo pita ilinijenge chaajabu magu kajenga nchi mimi hata msingi bad. ,,,,, nakukubalisana raisi wangu wewe nimpango wa mungu kumbe inawezekana eeeh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.