Recent content by Mr Ubwabwa

  1. Mr Ubwabwa

    Muda ndio umemchagua Benzema aonekane Straika Bora mbele ya Luis Suarez lakini takwimu zinamkataa

    Hoja ya market value ni uboya acha kuwaza ujinga.
  2. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Saudia Arabia wanazidi kusomba wachezaji tu, jamaa wameamua mwaka huu, wanataka wapite na bernado na mahrez.
  3. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Kwenye bei hapo ndio kunaweza kuwa pagumu make hatuna mpango wa kulipa iyo 100m wanayotaka, ni kama ile ishu ya cucurela tu.
  4. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Huyu kalvin si alisema hana mpango wa kuondoka, kama hili deal lipo serious itabidi asepe tu, maana rodri, rice, stones, hapo kupata namba ni ndoto.
  5. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Kina haaland jana wamepigwa comeback [emoji23]
  6. Mr Ubwabwa

    Tanganyikanism tukutane hapa

    Zanzibari si wana serikali yao?, nasisi tuwe na yetu ambayo hakuna mzanzibari atakayeweka pua yake hapo, af ndio tuwe na serikali ya muungano mixer. Tofaut na hapo kila mtu ale hamsin zake.
  7. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mwaka wa makombe huu, sevilla ajiandae.
  8. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Naona mabingwa wa uingereza ndio tutafungua ligi.
  9. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji23][emoji23]
  10. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Shabiki wa kitimu kidogo kama arsenal anakuja kutuletea taarabu za mashabiki [emoji1787] Timu haina kikombe chochote cha ulaya halafu anatulingishia mashabiki [emoji23][emoji23]
  11. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Ona huyu nae [emoji1787] Plastic club ina uefa, wewe weka kombe lako la ulaya ulilobeba hapa tuone. Toka umezaliwa mpaka leo mnabaki kunusa makwapa ya wengine tu, mpaka west ham ana conference, halafu unakuja kuimba taarabu za plastic club humu [emoji1787]
  12. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji23] jamaa anaona humu tuko sijui 6, anafikiri hali ni the same kila mahali, au anadhani hiyo parade inakuja kufanyiwa katavi [emoji23]
  13. Mr Ubwabwa

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    kwani hiyo parade inafanyikia bongo brother? Hiyo sijaandika kwa hulka za kishabiki, ni taarifa official kabisa na list ya barabara zitakazofungwa imeshawekwa wazi, unapochukulia fanbase ya humu jf unafikiri na UK ni hivyohivyo? Site; Manchester evening news.
  14. Mr Ubwabwa

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kama ni rahisi waulize PSG.
Back
Top Bottom