Recent content by mr.piano

  1. M

    10 Greatest Rappers Of All Time In Tanzania

    Hiyo namba 3 hapo ni halali ya afandesele mkali wa ryhmes huyo mpe heshima yake
  2. M

    Alikiba kufanya collabo na Ne-Yo

    Naam waswahili husema ukubwa dawa basi ndo hivyo maneno yanatimia kwani msanii mkongwe wa muziki wa bongoflavour hapa nchini king kiba sasa ameamua kuja ni kitu kingne kizuri kwa mashabiki wake kwa kuja na ngoma kali atakayomshirikisha msanii mkubwa kutoka USA Ne-Yo. King kiba ameyasema...
  3. M

    Msaada jinsi ya kupika popcorn za sukari

    Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufahamu wa kupika popcorn zinazokuaga na ladha ya sukari ilitupate kufahamu hapa jukwaani kwa faida ya wengi karibuni!!
  4. M

    Je, wewe ni makali wa mashairi? Vina vyenye maana? Basi tukutane hapa

    Haunitishi Kiuandishi Sina mpinzan hilo haina ubish Sikukopeshi Nakupa cash Tembea mbele na wako uzushi
  5. M

    Je, wewe ni makali wa mashairi? Vina vyenye maana? Basi tukutane hapa

    Tupia mashairi yako binafsi uliotunga mwenyewe, yakiwa na vina vyenye kuleta maana tuonyeshane mauwezo mimi naanza hivii.... Kazana kula kitabu Kwani ndio mwisho wa tabu Unayokila sababu Kuyafanya maajabu Upumbavu ni adhabu Soma uwe na adabu Madhabahuni utubu Bwana Yesu muabudu
  6. M

    Wasanii wa Tanzania wanaweza, tatizo ni plans, kulewa sifa au ushamba

    Bro unamawazo kama yangu, yaani kiukweli nikiwaangaliaga wasanii wetu uwezo wanao tena mzuri kabsa sawa na hao ambao tunawaona akina davido, sijui akina mafikizolo, J.martins na wengineo tunaowasikia katika anga za kimataifa, shida inakuja kwa kweli hawana plan, hawana mtazamo wa kuufanya muziki...
  7. M

    Zari White Party: LIVE online kwa Tshs 3000/=

    ni somo sisi tunaoelewa IT, tunaopenda muziki na ujasiriamali we have learn something!!
  8. M

    Zari White Party: LIVE online kwa Tshs 3000/=

    kama uko bongo wewe nenda tu mlimani city ila kama uko nje (especially kwa uganda and kenya) this is the link
  9. M

    Ben pol vs Diamond

    uko sawa kabisa mkuu ni vizuri kuwashindanisha wasanii wanaofanya muziki unaofanana diamond hadanyi rnb hivyo unakosea sana kumshindanisha na benpol bytheway namkubali sana benpol ni mkali pekee wa rnb hapa tz
  10. M

    Video review Sophia Sophia wa benpol

    Licha ya kua ni mwanamziki anaefanya poa sana kwenye tasnia hii ya muziki wa bongo flavor hasa kwa upande wa R&B, kias cha kubeba tuzo kadhaa za mwanamuziki bora wa R&B pia hata wimbo bora wa R&B kijana mpole mtanashati mwenye sauti ya kuvutia kabsa entertainment voice mwanamuziki benpol...
Back
Top Bottom