Sometimes yes sometimes no. Vuta picha maisha ya bush hawana maji kule maji ni hanasa wanakula bila kunawa wala kuoga maji ya kunywa ya mtoni machafu n mtoto ana immunity balaa azingui magonjwa sasa ww wa mjini gusa km wao uone, lifestyle la mtu inategemea na antibodies antigens high immunity...
Mpaka hapo kdg mmemchangamsha akili yake maake alifkiri parachichi mpk ya kule tu ndio utakupa majibu bay the way iyo ni tenda uchwala ingekuwa ni ya uhakika saiv ingekuwa imeshakata kona ya makambako...huwezi amua mpk uguse sio [emoji2957]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.