Recent content by Mr Mvua

  1. M

    GE2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

    Siasa za maji taka,zishapitwa na wakati.kiukweli serikali nzima hakuna Mwenye akili kama TL.wengi wanalinda vibarua vya hisani utadhani hawana elimu.mbona std seven tunadunda mtaani na maisha yako fresh I kimtindo mtindo.PhD holder unamkuta Yuko kama mbwa koko mflani kazini.wanateseka.Katiba...
  2. M

    GE2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

    Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho,naamini kila kitu na wakati wake. Ila usimwamini mwanadamu mwenzako,maana aweza kuwa rafiki pia adui kwa nyakati tofauti.Amigo
  3. M

    GE2020 Kijana soma kwa makini tahadhari hii usije ukavunja sheria za Nchi

    Inzi wa kijani katika ubora wake.ila mwaka huu ni mbaya kwenu.Fabio ka CHUMA LINAPITA.Mtungi,mahera,Siro,na bwana yao wanahaha. T
  4. M

    GE2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

    Kichwa kigumu kile,NEC wenyewe wamejitetea kuhusu hilo.wamedai sio wao waliomfungia Bali kamati ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi.Punguza jaziba mkuu.TL hawamuwezi,temu hii mtakaa sawa.
  5. M

    GE2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

    Unafiri ni vyema,kuneemeka watu 50 kati 1,000,000.kwa hiy.nchi ni ya wote na sio ya wachache .unadhani hatujuani ccm ndo itakayoleta machafuko.tutakung'utana vilivyo.usenge hatutaki hata kwenye nachafuko unadhani chanzo ni nini au hujawahi kusoma historian au...
  6. M

    GE2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

    Acha watetee ajira zao,wangejua kuwa mda wa sarakasi ulishaisha wangetulia wakafata kanuni. Mbona hiyo kipara hajajibu hoja ya Lisu kuhusu barua za malalamiko ya chadema kuhusu magufuri. Jitu bila aibu et linatoka mbele ya kamera kuharisha likidhan wtz wote ni wanaccm. Eti kamat ya vyama vya...
  7. M

    GE2020 Mitambo ya ushindi ya Dkt. Bashiru Alli yalipuka huko Tunduma

    Wazee wa showoff,tunawachora weeee,maiti nyie.
  8. M

    GE2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

    Pole yako kama polepole wenu,sidhani kama unaakili kuwazid kina Aigipii Ziro,bashirue,meko.acha wakimbizwe mchakamchaka
  9. M

    GE2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

    Kwa nn hizi taasisi hazijielewi.why TL tu!/.huku NEC,kule IGP,mara MITUNGI YA GESI,mbali kidogo makada.ama kweli wanapelekwa MCHAKAMCHAKA. Hawatamuweza TL wacha wakurupuke tu kwa kumfurahisha MEKO.aliko mwenyewe hana hamu.wamebaki vibaraka wanarusharusha miguu.uzuri wanajua wanaemfwatafwata.amigoooo
  10. M

    GE2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

    Kwa ni c imeshafika kwa Mwenye NATO.arafu mbona SIIIRO nae kashatoa pleas kabla ya kumfikia mlengwaa
  11. M

    GE2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

    Kwa nini anajiona anafaa badara ya wananchi kusema.haki kwanza mengine badae. Amigoo
  12. M

    GE2020 Giza nene lazidi kutanda Uchaguzi Mkuu 2020

    Huu mwaka ndo mwisho wao wajinga sana.watatafuta pakutokea.na wataisoma vizuri tu.wataenda kulima tu wataishi kama mashetani subiri.watatendewa kulingana na matendo yao.
  13. M

    GE2020 Mahera (NEC) na Nyahoza (Naibu Msajili wa Vyama), kwanini hamkujipanga kabla ya kuonesha sinema yenu?

    Na hii inadhihirisha jinsi anavyowanyoosha watesi wake.na mwaka huu lazima awaache uchi.we sio wa na nchi bali mwananchi.kura ni moja tu ya kwako amigo.hata mkeo hujui atampigia nani.ila kiukweli TL ni sawa ya MAPUNYE
  14. M

    GE2020 Polepole: Tunataka kuona NEC ikitenda haki, ole wake Tundu Lissu asipoitikia wito wa Tume!

    Anaongea kama nani,TL wanamjua au wanamsikia.hata hao tume hawana cha kufanya.he mgombea wa ccm amewahi kuitwa lini licha ya kukiuka maadili.au maadili hayo ni kwa ajili ya TL.Uzuri wanaecheza nae sio fara anawazidi hao mbwiga. Kiufupi,huu mwaka sio wa mazoea washaambiwa sana tu.polepole kama...
Back
Top Bottom