Recent content by Mr mussa

  1. Mr mussa

    Wakuu naomba kuelekezwa jinsi compound interest ya M wekeza inavyofanya kazi

    Yeah IPO Sawa kwasababu kama hutoi pesa Ile faida ya mwisho WA mwezi inajumlishwa kwenye mtaji. So kama ulikuwa na million moja Kwa mwezi huu then faida ikawa 11,000 means mwezi unaokuja mtaji wako ni 1,011,000. So hizo gawiio za kila siku zitatumia huo, kama mtaji mpya. Pesa haiwezi kupungua...
  2. Mr mussa

    Wakuu naomba kuelekezwa jinsi compound interest ya M wekeza inavyofanya kazi

    M-wekeza ni kwamba wanato gawio Hadi 13% Kwa mwaka. Lakini nilivoona ni kwamba Hilo gawio linatolewa kila siku na hizo asilimia 13 zinakuwa Kwa siku so mfano Leo inaweza kuwa 12%, Kesho 11.2%, keshokutwa 10.9%. ni inabadilika kila siku. So kujua gawio lako Kwa siku husika ni Mfano mtaji wa...
  3. Mr mussa

    MAISHA MTAANI NI MAGUMU

    Mkuu! unajua Sana kusimulia ningejua kuwa ni squid game nisingesoma mpaka mwisho. Unakitu boss Magical power
  4. Mr mussa

    Wale wanaopenda nyumba simple lakini classic tukutane hapa

    Hongera sana mkuu. Makadirio ya gharama mpaka hapo ni kiasi gani? Location dar
  5. Mr mussa

    Natafuta kazi ya mauzo au masoko kwa malipo ya commission

    Habari! Naitwa Musa, umri ni miaka 24 ni graduate wa information technology katika level ya degree. biashara inahitaji wateja ili kuweza kupata faida na kuendesha biashara, Hivyo basi kama kuna kampuni au biashara binafsi inahitaji kuweza kuongeza mauzo yake kwa kupata wateja basi tunaweza...
  6. Mr mussa

    Project Ni Muhimu Ili kupata kazi kwenye Software Industry

    Mkuu Stefano Mtangoo nauliza upande wa mobile application unashauri vip mtu anayejifunza react au flutter?
  7. Mr mussa

    INAUZWA Computer CPU naiuza kwa bei nafuu

    Kuna 100,000/=
  8. Mr mussa

    Natafuta deep flayer kwaajili ya kuchomea kuchomea chipsi

    Habari. Natafuta deep flayer inayotumia umeme kwaajili ya kuchoea chips, iwe na plate mbili. Njoo na offer yako. Mawasiliano: 0743-451-357 call/sms/WhatsApp/PM
  9. Mr mussa

    Natafuta jiko la gesi kwajili ya kuchomea chipsi yale ya kutengenezwa

    Ahsante kiongozi nitaenda kesho!
Back
Top Bottom