Naamini mitandao ya kijamii ipo kuweka jamii pamoja na kusocialize kwa urahisi. Mim kijana wakiume Nikiwa na umri wa miaka 27, natamani sana kuoa mikoa ya Tanga Singida na manyara kwasababu zangu binafsi.Natafuta rafiki wakike(-26) wakufahamiana naye na baadaye tukivutiana na kukubaliana tuwe...
Habari Great thinkers..Baada yakukaa kwa muda mrefu naandika mabarua yakuomba kazi ya kufundisha masomo ya Geography na English (secondary)nimeamua kuomba ushauri wa nikwanamna gani naweza pata pesa ama kukomeshwa nianze biashara yakulima matikiti na kujipatia kipato chakuendesha maisha yangu.
Ni mfumo tu nchi zetu, ila nchi zingine kazi hizi zinalipa sana mana watu wanazidharau sana na wanakimbilia kuajiriwa maofisini kwaio kazi hizi hazina watu kabisa.
Ninao uziefu wa kazi za ndani na hotels lakini pia mapishi mbalimbali. Nina umri wamiaka 26
Niko bukoba.
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Tanzania na Visiwani.
0764315971.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.