nyimbo zake ni SIMU SI MENO KILA MTU AWE NAYO, WAANDISHI WA HABARI, C.C.M IMECHOKA TUSIICHAGUE TENA, MC.C.M INAUA MAALBINO, hizo ni baadhi ya nyimbo zake, WIMBO ULIOMPELEKEA AKAMATWE NA UPIGWE MARUFUKU NI ULE UNAOSEMA CCM IMEKUFA ISIREJESHWE TENA MADARAKANI,HO NDIYO ULIOMPELEKEA APATE MISUKOSUKO...
Si bure unalaana wewe, hv hujui mwendo kasi unaua? et mabasi ya mwanza mengine yalifika saa 2 hujui hayo mabasi yaliendeshwa kwa spidi kubwa sana? kwa taarifa yako kutoka Ukitoka Saa 12 ASBH DAR TO MOR UNAFIKA SAA 4, MORO TO DOM Utafika Saa Nane, DOM TO SING Utafika Saa Kumi SING TO IGUNG Saa...
MBAYA ZAIDI TANGU UUNGANISHWE NA BIMA HUJAWAHI KUUGUA HATA MARELIA MWAKA WA 4 SASA,WATEGEMEZI HUNA,WAZAZI HUNA, MKE HUNA, WAKWE HUNA,WATOTO HUNA,makato Ya Bima Hayapungui Ni Yaleyale, HAWA NI WEZI WAKUBWA
UTATUSAIDIA SANA, Kwanini Wawatoe Watoto Wakifikisha Umri Wa Miaka 18? Kwanini Wanichagulie Watu Wa Kuwaweka? Kwanini Iwe Lazima Kujiunga Na Mfuko Huo? Kwanini Wasiruhusu Ushindani? Kwanini Nafasi Ziwe 6 Ambapo Ukiweka Wakwe Zako Na Wazazi Wako Nafasi Za Watoto Japo 2 Zinakosekana? WATUME...
Shule Arudi Wapi Huyo, ANANYEGE ZA PUNDA.MTU ALIJAZWA MIMBA AKIWA DARASA LA SITA LEO UMPE USHAURI WA KWENDA SHULE! USHAURI PEKEE AMBAO UNGEMPA NI KUWA KWENYE POCHI YAKE ASIKOSE KUWEKA KONDOMU ZA DUME. Pia Hao Watoto 5 Alionao Wa Baba Tofauti Wametosha, JENIFER ANAAKILI YA KUVUKIA BARABARA TU NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.