Wabongo bwana Utasema wamerogwa. Kuna tatizo kubwa gani kama, raia wako akiwa na wasi wasi na wewe kiongozi na akaanza kukuuliza maswali? Je suluhisho ni kumjibu hoja zake au kumfunga mdomo? Lipi jukumu la kiongozi hapo? Kigumu kikowapi wakisimama na kuanza kusema shilingi 100 ilitolewa kwa...
Ni sawa na kuuliza, kwanini mtu akifanya kazi nzito anakunywa maji baada ya hapo? Ili upate nguvu unahitaji glucose mwilini, so wakati wa masuala nguvu nyingi huitajika hivyo glucose nyingi huingia ndani ya damu na kusababisha balance ya blood contents kubadilika na kufanya uhitaji maji zaidi...
Shida ya Tanzania tunaenda kwa hisia na sio malengo, wala mipangilio maalum, huyo hisia zake zina mtuma awe IGP afunge watu miaka 200 kwasababu tu anatamani hivyo, sasa jiulize kihalisi kuna watu kama hao wangapi kwenye madaraka? Alafu kama yeye ana Intel kiasi hicho Kwanini alitusaidie majina...
Ukiangalia mambo yanavyokwenda TZ pasi na ushabiki kila kitu kina endeshwa kisiasa tu yaani ni porojo tu na wala hakuna misingi maalum ya kuhakikisha tunasonga mbele. Kuanzia kwenye elimu, sanaa, biashara na kadhalika. Ukitaka kujua ukweli wake waulize wanaobanwa na shughuli zao mmoja wao akiwa...
Je kuna madhara gani endapo Mume akiwa na blood group A- na mke A+?? Kwa vizazi vya. Na Je endapo wote watakua A+ au A- kutakua na shida kwa watoto watakao zaliwa?
Mimi sielewi mambo ya CAS yaani tangu nime apply mpakaleo check in progress tuu!!! nawakati mahala hapo ndipo panatakiwa kunionyesha kama nimefit selection yangu au laa!! je ntajuaje kama nimefit??? :hail:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.