Recent content by mr mkiki

  1. mr mkiki

    Hivi Jeshi la Polisi/Mahakama hawajawahi kuona jinai kwenye ripoti ya CAG, au jela ni maalum kwa Wakosoaji wa serikali tu?

    Maeneo mengine mengi watu wanavunjaga katiba na wala hawajali!! Lakini kwanini kwenye report ya CAG kuwekwa hadharani ufisadi wanaofanya hapa huwa nini kinatokea? Sawa ni takwa la kikatiba, but kwani wao huwa wanajali kuvunja katiba?
  2. mr mkiki

    Kuna UVCCM kule Facebook: Amehoji kwanini Serikali ya Tanganyika iliamua kuwapa Zabuni ya kujenga SGR Yapi Merkez (Waturuki) na kuwaacha Wakandarasi

    Bila shaka huyu UVCCM anahofia Performance ya Yapi Merkez katika Ujenzi wa Miradi mikubwa, na Bilashaka anataka kuwatupia zigo la mavi juu ya uharibifu uliotokea. Ngoja nimwambie: - Mradi wa Tanzania Standard Gauge Railway una Phase 6, Katika hizo phase 6 Yapi Merkez walishinda zabuni ya Ujenzi...
  3. mr mkiki

    Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

    WATU WAKUFA …….!!! ANAFANYA NINI HAPO? Anataka AMANI ILI WATU WAENDELEE KUTEKWA NA KUPOTEZWA. Alafu kuna Mtanganyika anapost huu ujinga.
  4. mr mkiki

    Ni wajinga tu watadanganywa kuwa Lissu ni kibaraka wa Mabeberu

    Tuendelee tu………bado wapo wengi tu
  5. mr mkiki

    PostGE2025 Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar December 2 imeshaharibika. Gen Z watibua kila kitu

    Wazee wataenda vitani, wazee lifetime yao wana muda gani hapa nchini
  6. mr mkiki

    Ni wajinga tu watadanganywa kuwa Lissu ni kibaraka wa Mabeberu

    Hayo madini, Mbuga za Wanyama, Gas, Uranium, Bandari, misitu n.k. ni kipi hawajapewa mabeberu kwa mikataba ya kijinga? Kipindi cha Magufuli tuliambiwa yote hayo Anachotaka Lissu hata kidogo kilichobaki tule wote, siyo wao wanakula na kuvimbiwa. Wanachukua mamikopo ya trillions, ambayo kila...
  7. mr mkiki

    Genz wameibua jambo jingine: Wanadai watoto wa Spika wa Bunge Zungu wana uraia wa Belgium

    Kwahiyo jombaa kala 10 alafu kakaza ndoga aiseee
Back
Top Bottom