Hii kwa TAKUKURU ni kazi yao. Lakini ndani ya serikali rushwa ni kubwa....... CCM wanatumia hela kuwa madarakani kwa % kubwa ,, mimi siwezi kukubali umasikini wakati ufisadi unawapa watu utajiri.
Tuwe wote kwenye Rushwa tuone Mwisho wake.
Sent from my SM-G928I using JamiiForums mobile app
Siasa za kitanzania ni nyepesi sanaa.......Yani raia wanashindwa kueleza matatizo ya nchi yao,kila siku wanataka drama tu. Asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.