Najiuliza hapa trump kaomba msaada NATO wamemkatalia, ikatokea Israel na marekani wakashinda vita peke yao basi ulaya watakutana na dharau za kutosha toka Kwa marekani,
Pia ulaya itawalazimu warudi kwenye meza ya mazungumzo na urusi kuyamaliza
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inaeleza wazi kuhusu hali ambapo Rais aliyeko madarakani anafariki dunia au kuachia madaraka kwa sababu nyingine yoyote.
📜 Ibara ya 37(5) ya Katiba ya Tanzania
Ibara hii inasema:
Hii ina maana kwamba Makamu wa Rais anapochukua nafasi ya...
Rais Samia Suluhu Hassan anahesabika kuwa anahudumu katika awamu ya sita ya urais wa Tanzania, si kaimu tena.
Hii ndiyo sababu:
Machi 19, 2021: Alikula kiapo kuwa Rais kufuatia kifo cha Rais John Magufuli. Hii ilikuwa ni kukamilisha muhula wa pili wa Magufuli, ambao ulikuwa uishe 2025.
Kwa...
Si kweli katiba inasema hii NI awamu ya sita, kama maghufuli angetawala miaka miwili basi ingekuwa NI awamu ya tano awamu NI ya sita kwakuwa muda mwingi katumia Samia kuliko maghufuli
Hatukatai kuwa serikali ya ccm imeoza lakini haiondoi ukweli watanzania ni wavivu, wajinga na hawana akili ya kufikiria Kesho na mabingwa WA kulalamika
Hizi Kadi zilianza Kwa kuuzwa baadae wakasitisha kuuza wakawa wanagawa bure mchango wako NI kuweka nauli 1,000 lakini watz hawakwenda...
Kwa mtazamo wangu naona Ukraine kashindwa masharti ya USA na anachofanya NI Bora hiyo mikoa yenye madini akachukua urusi maana anajua urusi itawaachia umiliki wa madini hayo chini ya raia wa mkoa husika ambapo watanufaika kuliko kumuachia USA wananchi WA Ukraine hawata pata kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.