Recent content by Mr lover lover

  1. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Nashukuru kwa ushauri wako blesses,nina ufanyia kazi.
  2. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Sijui ni kwa nini unanchukulia mimi ni muongo,kwa kweli sijajua au ni kwasababu haujaniona?lakini naomba nikuakikishie mimi sio muongo kabisa ninamaanisha ninachokisema.labda unahtaji ushahidi gani? ntakupa.
  3. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Usimlaumu huyo,kwani sio yeye tu wengi sehemu nilizopita katika kutafuta suluhisho hawaamin hili tatizo langu ndio maana inakuwa ni ngumu hata kupata ufumbuzi wake
  4. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Nimetoka hospital ya regence tarehe tano mwezi huu nimejieleza yote haya ninayokwmbia na wamenipima but hakuna kilichoonekana rafiki yangu.
  5. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Ndio mkuu yaani hata lepe,mimi huwa nakesha siku zote tangu kipindi hicho.najua ni ngumu sana kuamini au kuelewa ila sijawahi kulala kabisa,yaani kabisa hata kidogo tangu mwaka 2008.
  6. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Sio wewe tu,hata madaktari bingwa wa magonjwa ya ubongo wamekuwa wakishangaa sana,wamezoea kusikia mtu ana kosa usingizi wa kutosha tu,ila sio kuukosa kabisa.
  7. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Pole sana ndugu mwakibete ulitumia njia gani kulimaliza tatizo lako?
  8. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Ndio mkuu.mwanzo nilikuwa na tatizo la pingiri zangu za uti wa mgongo zimepishana lilipo malizika ndo tatizo hili la kukosa usingizi lilipoanza.na sasj limekuwa serious zaidi.
  9. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Unasema hivyo kama mtaalamu wa hayo matatizo au unahisi?
  10. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    kwetu hakuna wachawi mkuu.na hakuna wa kunirithisha hiyo kitu.
  11. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Dada kila mtu anaona ni tatizo jipya kabisa.angalia hata baadhi ya post hapa utaamini.
  12. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Mkuu sijawahi kulala tangu mwaka huo.dawa za usingizi nimetumia sana na naona tatizo linazidi kuongezeka zaidi.kwani zilinifanya mpaka nakosa nguvu kabisa.in short hakuna dawa ya usingizi ambayo sijawahi kumeza.
Back
Top Bottom