Recent content by mr kunambi

  1. mr kunambi

    Youthnize.com Earn Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly

    Youthnize.com Earn Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
  2. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Kuna wakati kuna vipindi ucku.kwa ufupi ni hutaruhusiwa kufanya kaz
  3. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Kaahirishe mwaka..uende mwakani
  4. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Hairuhusiwi maana ya fully coarse ni kutojighusisha na mambo mengine zaidi ya masomo..tofauti na distance learning.
  5. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Hiyo ni lazima iwe fully corse...wote mnalala chuoni..ni sheria.labda kwa kozi zingine
  6. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Haikuwepo. ILA nafikir iko vizur ..kumbuka hiki ni chuo cha kanda huwa walimu ni wengi.pia practical zipo za kutosha..kipo karibu sana na LIGULA..hospital ya rufaa. Hongera
  7. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Kama upo koz ya clinical officer jitahidi sana muda mwingi kutumia thieter , opd ma wodini usisubiri hadi muda wa rotatio
  8. mr kunambi

    Kwa wale wote waliochaguliwa COTC Mtwara

    Nilisoma hapo cl.officer. chuo kipo vizuri...na ufundishaji mzuri. Ila kwa sasa nimafikiri unatakiwa kujitegemea chakula maana hapo mwanzo ilikuwa huchangii chochot zaid ya laki tatu kwa mwaka kwa ajir ya ada.Pia utawala umebadilika kiasi..kwa hiyo jitahidi sana hasa clinical works ( mida...
  9. mr kunambi

    HESLB LOAN RESULT

    Mwaka jana...duh
  10. mr kunambi

    Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango

    Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango | MPEKUZI
  11. mr kunambi

    KUPATA MKOPO WA HELSB MWAKA WA PILI

    Guidline inaonesha unaruhusiwa kuomba mkopo...so ..inategemea na course unayosoma..(priority course.
  12. mr kunambi

    Msaada aliyopo AJUCo

    Bado..mi.niliahirisha mwaka uliopita
  13. mr kunambi

    Msaada aliyopo AJUCo

    Tunaomba kujua hostel za nje zilizopo ajuco..kribu na school of medicine. Gharama zake na umbali pia.
  14. mr kunambi

    Nimekosa First Round, kwa nilivochagua hapa nitapata second round?

    Guide book iliopo kwa vyuo hivyo havijafungwa
Back
Top Bottom