Recent content by Mr kaluta

  1. M

    Waziri Gwajima: Muswada wa sheria ya Bima ya Afya kwa wote kufikishwa bungeni hivi karibuni!

    Kwaiyo kama mtu utakua hujakata bima hautaweza kupata matibabu?
  2. M

    Naomba msaada wa haraka wadau

    Asante sana kaka, wakati ninainunua fundi aliniwekea lita 3 kamili, sasa service nyingine imefika nimeshangaa wameweka zile 3 ikapimwa ikawa ipo chini ikaongezwa mpaka lita 4 ndio ikawa sawa. Nikawa na wasi wasi isije ikawa ni over filling
  3. M

    Gari kuchemsha baada ya kuwasha A.C. sababu ni nini?

    Wadau mimi nina spacio new model ya mwaka 2004, cc 1490. Naomba kwa mwenye kufahamu anisaidie kujua inaingia lita ngap za transmission fluid. Mafundi wetu wa mtaani wananichanganya sana. Naomba msaada kabla sija ua kabisa gear box ya gari yangu
  4. M

    Matatizo ya automatic gearbox

    Wadau mimi nina spacio new model ya mwaka 2004, cc 1490. Naomba kwa mwenye kufahamu anisaidie kujua inaingia lita ngap za transmission fluid. Mafundi wetu wa mtaani wananichanganya sana. Naomba msaada kabla sija ua kabisa gear box ya gari yangu.
  5. M

    Naomba msaada wa haraka wadau

    Ninayo Toyota Spacio New Model, ni cc 1490 ya mwaka 2004, ingine 1nz-fe. Kwa mwenye ujuzi naomba kujua hii gari inaingia lita ngapi za transmission fluid. Naomba msaada katika ili wadau ili nisije nikaua gear box ya gari yangu, mafundi wa mtaani wananichanganya sana aisee.
Back
Top Bottom