Recent content by mr jay4

  1. mr jay4

    Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

    Popote alipo apate pepsi bariiiidiiii bili juu yangu huyo ndio mwanaume sasa;!
  2. mr jay4

    Anatakiwa afanyenini hapa dar huyu kijana

    Bro asante sana nimejua pakuanzia
  3. mr jay4

    Anatakiwa afanyenini hapa dar huyu kijana

    Kwan si nimeandika mm apo au umelewaj sasa? au mm ndio sijakuelewa?
  4. mr jay4

    Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

    Sasa apa ndio toka nasoma comenti ndio nimepaelewa please ndugu unaweza tupa zaidi hizo tv nch 32 kwa bei hizo au chini ya hapo tuna toa wap yani machimbo ya hizo tv
  5. mr jay4

    Anatakiwa afanyenini hapa dar huyu kijana

    Nina ndugu yangu katokea mbeya kaja apa mjini dar anasema mbeya mji wa wafanya kazi maana ajaona fulsa yoyote,kama unavyo jua mbeya hata kwa buku mbili unaishi siku mzima,sasa yeye ni dereva wa magari yote lakini anasema anaweza kufanya biashara huko aliko toka kaacha familia mke na watoto...
  6. mr jay4

    Kwa hili la huyu mpenzi wangu acha pesa zangu ziishie kwa mama tu!

    Shida ni huyo dada alitakiwa kuwa na shukrani atakama pesa haikutosha lbd next time angepata nyingine angemtumia, unajua nikwel wanaume tumekuwa tukitoa pesa kwa wapenzi wetu kwasababu tunataka kuonyesha tunajali.wazazi wetu wanapata asilimia ndogo sana ya kile walicho wekeza kwetu lkn wapenzi...
  7. mr jay4

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka na hii wazee CAF948E Bp odds 3.36
  8. mr jay4

    Video: Kama wazazi tumejenga mazoea na watoto wetu wa kike namna hii, tutawaacha salama kweli!?

    Upuuuzi huo ayo kwa mtoto chini ya umri wa miaka mitano tu
  9. mr jay4

    Achaa tamaa weka timu chache ushinde bet

    Unaweka odds ya 1.77 na apo timu nne bado unachanika sijui unaongea nn wewe
  10. mr jay4

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Naomba msaada natamani kufungua duka la vipodozi. Naomba kujua je? Hio pesa inatosha kwa kuanza na bidhaa tu maana frem na kabati la kioo tayari. Mzigo naweza kupata wapi maana mm nipo mbeya. Mazingila nayo kaa ni uswahilini na hakuna duka la vipodozi naomba ushauli wenu. Kwa mtaaji wa 2.6...
  11. mr jay4

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nimecheka kishamba sana isee
  12. mr jay4

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Bwana wee nilikuwa nakaa kwa mshikaji wangu frani hivi kwao pale kwao palikuwa na mtoto wa dadake(anko) na mm akawa ananiita anko anko poa ikawa hivyo sikuwahi kufikilia jambo zaidi ya kumchukulia anko, mtoto kisu kisu kweli bwana bwana siku nimetoka mbishe zangu namkuta mtoto peke yake, pia...
  13. mr jay4

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatakwangu sijui wanashida gani Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  14. mr jay4

    Biashara ya kujumlisha mahindi mabichi

    Okey saw saw ndugu ivi kwa mwindi mmoja shingap?
  15. mr jay4

    Biashara ya kujumlisha mahindi mabichi

    Debe ni 8000 hivyo mara sita ndio bei ya gunia kwasasa mbeya
Back
Top Bottom