Recent content by Mr Hunky

  1. M

    Kwa bei hizi ni akina nani hununua bidhaa kutoka maduka ya Street Soul ya Dar es Salaam, Arusha na Mwanza?

    😂😂😂😂 Daah nimecheka sana mkuu. Yote ya yote hayo ndio maisha yetu sisi wenye vipato vya chini. Mambo ya kununua shati Tsh 200,000 tunawaachia wenye mapesa yao.
  2. M

    Niulize chochote kuhusu vipimo vya Maabara za Afya

    Mkuu hivi hivyo vipimo vya Ukimwi Pharmacy huwa wanauzaje?
  3. M

    Comment za kuchekesha mitandaoni

    Sitaki masihara kabisa 😊😊
  4. M

    Comment za kuchekesha mitandaoni

    Kitu kina trend huko. Wabongo sio watu wazuri.
  5. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    😂😂😂
  6. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    😊😊😊
  7. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Noted Chief.
  8. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Nimekuelewa mkuu Savimbi. Ila sio client yupo interested na hizo huduma za ziada hao unaoongelea mara nyingi huwa hawajakunwa siku nyingi au hakunwi vizuri sasa ndio ikitokea kama hivo kaenda kwenye massage ile kuhudumiwa zikipanda anashindwa kujizuia anaomba poo wanamalizana.
  9. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Pamoja mkuu.
  10. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Asante kwa ushauri Bibi K.
  11. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Usemayo ni kweli chief ila sio kila massage inahusisha sex au kunjunjuana. Watu wengi wakisikia massage basi mawazo yanaenda huko moja kwa moja.
  12. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Hongera mkuu.
  13. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Pamoja mkuu.
  14. M

    Huduma ya Massage kwa Wanawake ♀️

    Hapana mkuu, hamna masaji ya mjegejo hata moja hapo. Kwa nini watu wakisikia masaji they all think about sex sex sex!!! 🙄
Back
Top Bottom