Ni kweli boss Ila inategemea na kila mtu sehemu anapochukulia mzigo wake boss wangu,au wengine wanaweza kuchukua saa kutoka kwetu kwa bei ya jumla naye anakuja kuuza na lazima aongeze faida kidogo ili naye apate chochote kitu so wewe angalia panapokufaa kuwa mteja wa kudumu na kwa Wanao elewa...
Mtu akifungwa Cha kwanza lazima awe anakua hawezi kuolewa Wala kuoa anaweza kuwa na mahusiano na watu wengi lakin hakuna mtu atakaye muoa au kuolewa,pia kufungwa mtu anaweza kufungwa kiroho yaan vinaitwa vifungo vua Rohoni na nafsini,hivyo Basi huenda mtu kufungwa Hisia zake,Moyo wake utashi...
Yaah ni kweli boss Ila Naviforce hazielewekagi Bei Sana huwa zinapanda na kushuka Ila pia zipo za level 2 Kuna used ambazo zinatoka China ingawa zinafungashwa Kama mpya ndio hizoo unakuta 35 wengine 40 boss pia zipo mpya kabisa so ni kila mtu anapochukua mzigo wake boss
Mr.Watches
Ohoo sawa sawa boss umeuliza vizurii sana,ni kwamba kwa Sasa hatuna Duka boss Nina store tuu ambayo ipo nyumbani kwangu hvyo mteja akihitaji bidhaa yoyote Basi anafanyiwa delivery mpaka alipo kwa Dar pekee pia Kama mteja akiona Kuna saa or bidhaa aliyoipenda na akataka kuona picha uhalisia...
Hahaha hapana boss ndio maana nikakuambia zipo za level tofaut tofaut na mteja ajapo kwangu namueleza ukweli yaan kuwa hii ipo hivi ni Bei fulan na hii ni Bei fulan tofaut ni ubora so lazima niwaeleze ukweli wateja wangu maana hii ni biashara boss wangu na mfanya biashara mzuri lazima awe mkweli...
Kama unahitaji picha ya bidhaa halisi Basi ni vyema ukaja inbox boss wangu pia India Shaka picha iliyokuwepo hapo ndio sawa na picha halisi sema tuu hapo ni Camera boss pia unavyoona hapo ndivyo zilivyo siwezi onesha picha iko hivi na uhalisia uko tofauti boss
Mr.Watches
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.