Wakuu habari zenu!
Naomba kusaidiwa kimawazo kwa wale wenye ujuzi wa fani za kusomea kwa mtu aliyemaliza diploma ya Clinical medicine tofauti na MD(medical doctor) na AMO( Assistance Medical officer) ambayo mwisho wa kuisomea hii ni intake ya mwaka huu tu.Naomba kujuzwa kutoka kwa mchupuo huo...
Wakuu habarini!
Kwa wale wanaojua zaidi kuhusu hiki chuo naomba wareply niwatafute. Namaanisha kwa wale wanaokijua vyema na maybe waliwahi kusoma.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.