Mada nzuri sana mkuu, ukitoa fungu la kumi ni umetoa sadaka, maana yake 10% ya Faida yako unatoa gawio kwa mungu wako. Sasa hapo maana yake ni kwamba mungu naye ni moja ya wammiliki wa hiyo biashara maana kila ipatikanapo faida na yeye upewa. Hakuna na haitotokea kamwe mtu ama kitu kibaya kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.