Hapa kuna watu wanatafutwa kupachikwa kesi za kina mbowe kipindi kile......UGAIDI. Na hii mbinu huwa ni ya Mwigulu ndiye huwa anatoka haya makamasi, ndo maana alianza kuzunguka kuwaandaa watanganyika kisaikolojia.
Hapa kuna watu wanatafutwa kupachikwa kesi za kina mbowe kipindi kile......UGAIDI. Na hii mbinu huwa ni ya Mwigulu ndiye huwa anatoka haya makamasi, ndo maana alianza kuzunguka kuwaandaa watanganyika kisaikolojia.
Sasa umejuaje kwamba amekula pesa au ametumia vibaya madaraka. Je mahakamani utasema huna risiti? Na kama huna suppotive documents juu ya hizo tuhuma kwa nini useme?
Hati chafu haitolewi kijingajinga hivyo kwamba wahuni wawili watatu wamedai fulani katumia hela vibaya basi CAG atoe hati chafu? Labda awe CAG wa mchongo kwa maelekezo maalum. Pia inatakiwa uwe na kumbukumbu kuwa ccm inaongoza kwa kupata hati zenye mashaka na chafu. Matumizi yao kawaida huwa...
Muda utasema naona huyu Rais wenu kaishiwa hata mbinu yoyote ya kujikwamuwa. Na hajui hii njia aliyotumia ya kina Mwaipopo na vibaka wenzake ni hatari kwani si wao tu watawaua wakristo bali wakristo ni wengi na wao wakiona upumbavu unazidi mipaka watajibu tena kwa kishindo. Na njia nyingine ya...
Kufanya mikutano si hisani ya mtawala wala msajili wa vyama bali ni haki ya vyama na iko kikatiba. Kutoshiriki uchaguzi kwa chama chochote haiondolei haki chama chochote kufanya mikutano. Punguza ujinga na uchawa
Mshauri huyo mama yenu avunje uhusiano wa kidiplomasia na Marekani pamoja na umoja wa Ulaya. Naona sasa mnafikiria kwa kutumia matako badala ya kutumia akili.
Watu wa kijiji cha Bwai Kwitururu, kitongoji cha Chanyauru kata ya Kiriba ndiko kazaliwa huyu. Sasa inatakiwa tuitafute familia ya Mcheche tuiulize huyu kijana wao kapooza, kabadili dini au kuna nini kilichompata. Waadventista wasabatho ni kosa kupoka haki ya mtu huyu jamaa vipi tena?
Kwa gharama zipi, na pia uliowataja hapo hawakuwahi kuambatana na wazazi wao katika ziara za kiserikali unatoa mifano mfu yenye mihemko ndani yake.
Swali ni je Samia atamtambulisha mtoto wake kikazi? Na je gharama zake za ziara nani kalipia?
Samia angeambatana na mume wake watu wasingehoji...
Ninyi hamjan'gamua hii kauli ya huyu mbunge, yuda anayeongelewa hapa ni Makonda. Kawaumiza wanasiasa na wengine walikuwa mbele leo wako nyuma upande wa wabunge kule( Nape) kawaumiza wafanyabiashara (GSM). Hata familia iliyomlea leo haimtaki karibu(Familia ya Samwel Sita). Magufuli alimtupa mbali...
Hiyo historia ikiwa ya kweli basi hao wanafunzi watamtafuta aliko wamfanye hakuna. Na kama atakuwa ameishamfuata mwenda zake basi kaburi lake litafanywa hakuna.
Hu
Hunaga kazi ya kufanya kila muda ni kupiga zumari tu. Ndo mnaanza kuugua sonona hivyo kabla ya muda, kuna muda utafika hatutaongea wala kulalamika bali tutaanza kuulizani kibabe na kushikishana adabu.
Mkuu umeua kwa hao watu, lakini Waziri wa mambo ya nje ameishakiri kuwa polisi waliwaua waandamanaji baada ya kuwarushia polisi mawe. Tupa jiwe uchapwe lisasi, ndo Tanzania hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.