Recent content by Mr fedha

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi

    Hapa kuna watu wanatafutwa kupachikwa kesi za kina mbowe kipindi kile......UGAIDI. Na hii mbinu huwa ni ya Mwigulu ndiye huwa anatoka haya makamasi, ndo maana alianza kuzunguka kuwaandaa watanganyika kisaikolojia.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi

    Hapa kuna watu wanatafutwa kupachikwa kesi za kina mbowe kipindi kile......UGAIDI. Na hii mbinu huwa ni ya Mwigulu ndiye huwa anatoka haya makamasi, ndo maana alianza kuzunguka kuwaandaa watanganyika kisaikolojia.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea CHADEMA kwa sasa, kinaweza kupelekea CAG kukipa chama hicho hati chafu?

    Sasa umejuaje kwamba amekula pesa au ametumia vibaya madaraka. Je mahakamani utasema huna risiti? Na kama huna suppotive documents juu ya hizo tuhuma kwa nini useme?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea CHADEMA kwa sasa, kinaweza kupelekea CAG kukipa chama hicho hati chafu?

    Hati chafu haitolewi kijingajinga hivyo kwamba wahuni wawili watatu wamedai fulani katumia hela vibaya basi CAG atoe hati chafu? Labda awe CAG wa mchongo kwa maelekezo maalum. Pia inatakiwa uwe na kumbukumbu kuwa ccm inaongoza kwa kupata hati zenye mashaka na chafu. Matumizi yao kawaida huwa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu akisingiziwa na kushitakiwa kwa kufadhili Magaidi wa kuua Wakristo, nani atamtetea?

    Muda utasema naona huyu Rais wenu kaishiwa hata mbinu yoyote ya kujikwamuwa. Na hajui hii njia aliyotumia ya kina Mwaipopo na vibaka wenzake ni hatari kwani si wao tu watawaua wakristo bali wakristo ni wengi na wao wakiona upumbavu unazidi mipaka watajibu tena kwa kishindo. Na njia nyingine ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Chama kilichosusia uchaguzi kinaachwa vipi kufanya siasa??

    Kufanya mikutano si hisani ya mtawala wala msajili wa vyama bali ni haki ya vyama na iko kikatiba. Kutoshiriki uchaguzi kwa chama chochote haiondolei haki chama chochote kufanya mikutano. Punguza ujinga na uchawa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Trillion iliyotengwa kwa kinachoitwa "safari za viongozi" ni Double Allocation. Kila wizara ya Kisekta ina fungu la OC ndani yake zimo safari

    Lucas Mwashambwa na machawa wenzako njooni mtoe maelezo ya kumtetea mtu wenu juu ya matumizi ya hizi hela.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania haina haja ya kua na ushirikiano wa kidiplomasia au kimaendeleo na taifa ambalo haliheshimu uhuru wa taifa jingine.

    Mshauri huyo mama yenu avunje uhusiano wa kidiplomasia na Marekani pamoja na umoja wa Ulaya. Naona sasa mnafikiria kwa kutumia matako badala ya kutumia akili.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Masaju aweza kuwa ndio Jaji Mkuu Duni zaidi tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi

    Watu wa kijiji cha Bwai Kwitururu, kitongoji cha Chanyauru kata ya Kiriba ndiko kazaliwa huyu. Sasa inatakiwa tuitafute familia ya Mcheche tuiulize huyu kijana wao kapooza, kabadili dini au kuna nini kilichompata. Waadventista wasabatho ni kosa kupoka haki ya mtu huyu jamaa vipi tena?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Kwa gharama zipi, na pia uliowataja hapo hawakuwahi kuambatana na wazazi wao katika ziara za kiserikali unatoa mifano mfu yenye mihemko ndani yake. Swali ni je Samia atamtambulisha mtoto wake kikazi? Na je gharama zake za ziara nani kalipia? Samia angeambatana na mume wake watu wasingehoji...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Hajasema alitumwa bali kasema alitupwa mbali huko. Na Nchimbi hajalelewa na familia ya mtu tofauti na wazazi wake.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Ninyi hamjan'gamua hii kauli ya huyu mbunge, yuda anayeongelewa hapa ni Makonda. Kawaumiza wanasiasa na wengine walikuwa mbele leo wako nyuma upande wa wabunge kule( Nape) kawaumiza wafanyabiashara (GSM). Hata familia iliyomlea leo haimtaki karibu(Familia ya Samwel Sita). Magufuli alimtupa mbali...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Hiyo historia ikiwa ya kweli basi hao wanafunzi watamtafuta aliko wamfanye hakuna. Na kama atakuwa ameishamfuata mwenda zake basi kaburi lake litafanywa hakuna.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Hu Hunaga kazi ya kufanya kila muda ni kupiga zumari tu. Ndo mnaanza kuugua sonona hivyo kabla ya muda, kuna muda utafika hatutaongea wala kulalamika bali tutaanza kuulizani kibabe na kushikishana adabu.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Lucas Mshamba,Lucy Mikael,Yona wa Chalinze,Mwalimu na BAKWATA kuongoza utetezi wa CCM kwenye bunge la seneti huko Marekani

    Mkuu umeua kwa hao watu, lakini Waziri wa mambo ya nje ameishakiri kuwa polisi waliwaua waandamanaji baada ya kuwarushia polisi mawe. Tupa jiwe uchapwe lisasi, ndo Tanzania hiyo
Back
Top Bottom