Hivi ni kwanini ukiwa Ccm akili nazo zinahama inamaana miaka yote Mbowe alikuwa anafanya hayo yote na CAG akikagua anaona safi tu,Ujinga wa kupambana na Mwamba kijinga kamwe hamtofanikiwa,Kwa maana mnapambana na Mungu bila nyie kujua lazima aibu itawarudia tu
Yaani wao wameshindwa hata kutoa posho ya siku moja tu bungeni kuwachangia wahudumu wanataka sie maskini ndo tuchange
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kama Bavicha tunaungana na Marekani kumzuia kujumuika katika shuhuli zozote zinazotuhusu hapa Dar,Mpaka atakapokanusha kuhusika na tuhuma ambazo ametuhumiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.