kwanza kupigizana kelele na mtu aliyeshindwa, ni matumizi mabaya ya mda....vyura fc endeleeni kulopoka, sisi ngoja tusubilie mech..hata hivyo tarehe 2 mwez wa 4 sio mbali sana.
Al masry wenyewe hawaamin...wanalia na kusaga meno...wanajiuliza imekuwaje wakapangiwa timu ngumu kama ile.....
Simba ni miongoni mwa timu tishio barani Afrika..lazma waje kwa tahadhari kubwa....enyi wapiga kelele endeleeni kubwatuka, ila UBAYA UBWELA uko palepale....we are on the way to the...
mhm!! ngoja tuone kati ya rekcha na huyu saidi, nani atakuwa fundi zaid...mnaojua uhusika wa rekcha kwenye ile "nilimdhania kahaba kumbe bikra" mtakuwa mmeelewa ninachomaanisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.