Habali zenu wana ndugu wa jamiiforms
mimi na kijana wangu anasoma uwalimu wa special diploma ya sekondari ya miaka mitatu, na mwaka huu ni wapili wa masomo amefanya mtihani wa taifa wa kidato Cha sita amepata division three ya point 17 (3.17) na amefeli somo moja la kufundishia.
ila sasa vigezo...
Sawa kaka
Nauliza kuhusu
Msamaha wa katibu mkuu wa bodi ya uwalimu wa special diploma ya sekondari je kwa mwaka huu upo kwa wake waliopata division three na kufeli somo moja hupo
Habali zenu wana ndugu wa jamiiforms
mimi na kijana wangu anasoma uwalimu wa special diploma ya sekondari ya miaka mitatu, na mwaka huu ni wapili wa masomo amefanya mtihani wa taifa wa kidato Cha sita amepata division three ya point 17 (3.17) na amefeli somo moja la kufundishia.
ila sasa vigezo...
MSAADA WA KUFAMU JAMBO KUHUSU MKOPO WA SELIKALI
Habali wanandugu;
Mimi ni kijana wa makamo naomba kuuliza jambo. Huwa nimesikia kuwa katika hii nchi yetu huwa inatoa mkopo kwa vijana kwa wajasilia Mali na wakulima vijana na fungu hilo lipo katika bajeti ya serikali na hupelekwa kwa kila mkoa...
Ndugu samahanini naomba kufahamishwa jinsi gani ya kuludia mtihani wa kidato Cha sita kwa mwaka huu 2023 kuhusu vituo hambavyo Ada zao huwa sikubwa kwa hapa daresalaam nahuwa shilingi ngapi kikawaida maana Kuna dogo hapa anatia huruma kwakweli nataka nimsaidie kwa hili halikuwa anasumbuliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.