Recent content by mr.composer

  1. mr.composer

    Admission letter, RUCU

    Izo za medical mtazikuta chuo direct
  2. mr.composer

    Lost certificate

    Habari zenu wana jamvi.kuna ndugu yangu kapolewa na cheti chake cha form4.je kunauwezekano wa kupatiwa kingine akienda toa taarifa necta.
  3. mr.composer

    Anayeuza laptop accer

    Kwa anayeuza laptop aina ya accer ambayo ipo in good condition n good details. Check mi on 0717709996. My offer ni laki 3 na nusu!
  4. mr.composer

    Naulizia majina kwa walio appeal Bodi ya Mikopo 2014/15

    Uku chuon kwetu ruco yapo na watu wameambiwa wapeleke reg no na bank account waingiziwe pesa zao
  5. mr.composer

    Agent: Msaada wa kisheria tafadhali

    Braza humu huwez pata msaada wa kisheria.coz ethics za lawyerz hailuhusiw kujipromote anywhere.so cha kufanya tafuta mwanasheria aliyepo kalibu yako
  6. mr.composer

    Mlioomba transfer TCU mjiandae kucheleweshewa mikopo

    Na vp kuhusu walio appeal then appeal zao zikawa successful je nao pesa inachelewa au?
  7. mr.composer

    Majibu ya HESLB appeals yanatoka lini ?

    Nasoma Rucu zamani Ruco LLB.mwanzon nilikosa kabisa.nika appeal zali limenidondokea nimepata
  8. mr.composer

    Majibu ya HESLB appeals yanatoka lini ?

    Mtandaoni hamna mkuu.kachek chuoni kwako yametumwa vyuon
  9. mr.composer

    Majibu ya HESLB appeals yanatoka lini ?

    Yaa sure.majina yametoka i thanks God nimebahatika kupata
  10. mr.composer

    Aliyemaliza Form 4 anawezaje kusoma degree moja kwa moja?

    Kakudanganya huwez toka o-level to degree ata kama una division 1 bro
Back
Top Bottom