Recent content by mr clean

  1. mr clean

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anayetaka kuja dar nani mimi nataka kwenda vikindu mkuranga
  2. mr clean

    Tanganyika

    Kitendo cha kuwepo katiba hai Zanzibar Wimbo wao wa taifa.baraza la wawakilishi.bendera ya taifa,na rais mwenye mamlaka kamili ni udhihirisho kuwa wazanzibari walimuenzi mama yao Zanzibar huku Watanganyika wakinyonga mama yao Tanganyika kwa mikono yao wenyewe.jambo hili linaweza lisiwe zuri kwa...
  3. mr clean

    Vifungu vya Katiba ya Zanzibar vinayovunja Katiba ya Muungano ya sasa!

    Kitendo cha kuwepo katiba hai Zanzibar Wimbo wao wa taifa.baraza la wawakilishi.bendera ya taifa,na rais mwenye mamlaka kamili ni udhihirisho kuwa wazanzibari walimuenzi mama yao Zanzibar huku Watanganyika wakinyonga mama yao Tanganyika kwa mikono yao wenyewe.jambo hili linaweza lisiwe zuri kwa...
  4. mr clean

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi nipo dar temeke nataka mtu wa kutoka singida mjini
  5. mr clean

    Mabadiliko

    Mabadiliko ni hatua si jambo la mara moja.yawezekana kabisa wanaopambana leo juu ya mageuzi ya kweli.sio watakaopata fursa ya kuwa viongozi.mbegu ya mageuzi inayopandwa leo ni kwa ajili ya kesho ya watoto wetu.nisafari isiyo na mwisho wala hakuna ajuaye ataikamilisha nani kwa kuwa bado naishi...
  6. mr clean

    Sitta adhalilishwa na wana CCM wenzake Dar

    waziri wa afrika mashariki mh samweli sitta amehujumiwa na viongozi wa ccm tawi la kongowe na kata ya toangoma jimbo la kigamboni katika uzinduzi wa ofisi ya serkali ya mtaa wa kongowe uliofanyika tarehe 11/01/2014,katika sherehe hiyo ambayo Waziri Sitta alikuwa Mgeni rasmi uongozozi wa CCM tawi...
  7. mr clean

    Wito kwa m/kiti chadema mkoa kagera

    matumaini ya chama yanatakiwa kuwa ya wanachama wenyewe kuliko viongozi
  8. mr clean

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa aliyemorogoro mjini. Mimi nipo dar. Demeke. Tuwasiliane
  9. mr clean

    Waraka wangu kwa viongozi, wanachama na wapenzi watukufu wa CHADEMA

    Chama kipo kwenye uchaguzi na mwezi wa sita ni uchaguzi taifa.ni vyema tukasubiri kwanza
Back
Top Bottom