Huyu jamaa uongozi wake umejengwa kwa misingi ya Genocide.
Bila Genocide hana cha kusimamia.
Kwa rwanda amejibrand kama ni mtu aliyezuia Genocide. Kwa nchi ambazo zina makabila mengi huwezi kutoboa kuwaongoza watu miaka 30 kila leo uwakumbushe mauaji ya kimbari!! Watu awawezi kukuelewa lazima...
Kuna research nyingi zitafute zimefanywa Reanda! ukabila upo umejaa hata humo twitter wanaitana mbwa (hutu) ni ww tu unaamini haya maigizo ya kagame! lakini kama unataka kujua ukweli utaupata ukiutafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.