Wapo kwa ajili ya kupiga pesa za kuhuisha leseni pamoja na full registration. Ila nasikia wafanyakazi wa MCT hapo kambarage towel Dodoma wana hela sana unakuta mtu tu wa reception ana miliki ndinga yenye cc zaidi ya 2000. Nilitegema kwa pesa wanayoipata MCT wawe na office zao na hata wawe...
Pole sana, pesa inaonekana ipo lakini inaliwa na viongozi wa juu, posho perdm na safari za mara kwa mara. Vilevile wanachota pesa na kuendesha miradi yao binafsi.
Habarini za jioni, kwa kweli leo nimepata changamoto kubwa kwa kuliwa pesa yangu. Tufupishe mada mimi nipo wilayani Kisarawe nilivuta umeme tarehe 7.2.2026 na kuanzia hapo nimekuwa nikikatwa kodi ya jengo kila mwezi tsh 1,500/=, cha ajabu leo nilitaka kununua umeme wa tsh 10,000/= muamala...
Elias kihombo sio wa kawaida ndugu yangu, matokeo yake ya form six average ya 99%. Ameacha mchango mkubwa sana kwa jamii. Na hakuwa ana solve physics pekee. Alikuwa ana uwezo wa kufundisha chemistry, physics na A/mathematics siku nzima na kusolve maswali yaliyoshindikana. Kingine alikuwa...
Kweli sisi majitu ya bara ni yenye roho mbaya mno, bora hata watu wa pwani kidogo. Zikitokea scholarships za kwenda China, Serbia au uturuki yanawekana yao kwa connection. Zikitokea nafasi za manesi kwenda Saudi Arabia yanawekana kwa connection. Zikitokea nafasi za kwenda kupiga boda na Bajaj...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.