Recent content by Mr Chloramphenicol

  1. M

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Ni kweli nakumbuka A level kuna msela mchana anassolve CHAND na vi pamphlets vya mudi commissioner ila night kali anasolve Roger Muncaster
  2. M

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Elias kihombo sio wa kawaida ndugu yangu, matokeo yake ya form six average ya 99%. Ameacha mchango mkubwa sana kwa jamii. Na hakuwa ana solve physics pekee. Alikuwa ana uwezo wa kufundisha chemistry, physics na A/mathematics siku nzima na kusolve maswali yaliyoshindikana. Kingine alikuwa...
  3. M

    KERO Kinachofanyika Uhamiaji tukikinyamazia Watoto wetu watakuwa watumwa katika ardhi yao, kuwe na usawa

    Kweli sisi majitu ya bara ni yenye roho mbaya mno, bora hata watu wa pwani kidogo. Zikitokea scholarships za kwenda China, Serbia au uturuki yanawekana yao kwa connection. Zikitokea nafasi za manesi kwenda Saudi Arabia yanawekana kwa connection. Zikitokea nafasi za kwenda kupiga boda na Bajaj...
  4. M

    Kigoma: Gari za UNHCR zitauzwa Kwa mnada Kibondo

    Ngoja nijiandae kwenda kuharibu mnada kama alivyofanya dr Luis Shika
  5. M

    KERO Tabia ya kuvujisha taarifa za Watumishi wa Umma kwa Taasisi za mikopo ikomeshwe na hatua zichukuliwe

    Hata mimi wananisumbua sana na sijawahi kukopa sijui taarifa zangu wametoa wapi ?
  6. M

    Makala: Kwanini sasa wanafunzi wanafaulu kuliko zamani?

    A level yetu physics ilikuwa ngumu kweli nasikia wa kwanza kitaifa alikuwa na 56%
  7. M

    Makala: Kwanini sasa wanafunzi wanafaulu kuliko zamani?

    Vile vile mitihani ni miepesi mfano physics A level ukisoma Chand na ukasolve maswali yake ujue umefaulu lakini enzi zetu kulikuwa na vitabu vingi mno mfano Thom Duncan, Nelcon, ABC modern, Compressor, CHAND, Roger Muncaster na UP. Kiufupi km ningesoma zama hizi ningekua TO. Elimu imekuwa...
  8. M

    Wewe ungefanyaje?

    Hongera kaka mwezi mzima na haukula tunda,.ni wanaume wachache sana kama wewe.
  9. M

    Kuna muda nikiwatafakari Walinzi wa karibu wa baadhi ya Marais, huwa nawakosea majibu

    What happened to Gaddafi's famous female bodyguards after his death? That’s a very sad story. During Gaddafi’s reign, those women were most likely kidnapped for the Benevolent Dictator’s services from their families, once a dutiful masculine eye would tell how promising said women would be for...
Back
Top Bottom