Recent content by Mr ceragem

  1. M

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Kuna after shave moja inatoka south africa inaitwa BUMP solution bei yake ni elfu 7 tu, nikachupa kadogo na maranyingi zinapatikana maduka ya madawa yale makubwa ni nzuri sana na hiyo haijawahi kushindwa kuondoa vipele, mimi pia nilikuwa muhanga wa vipele kidevuni ila sasa niko vizuri hakuna...
  2. M

    INAUZWA Welcome To Electronics products Empire

    Ok mkuu nazo hizo ni bei gani?
  3. M

    INAUZWA Welcome To Electronics products Empire

    Nataka electric pressure cooker aina ya GB KINGS 6Ltrs je ni shilingi ngapi?
  4. M

    Msaada anaejua bei ya miti nataka kuivuna

    Hilo hasijaribu kabisa itamkata mazima, yaani kama alipanga atapata 10M utashangaa mpaka anamaliza kuuza mbao zake ana 4M baadaya ya kutoa gharama zote, kuna kitu kipo kwenye mbao mtu anayepasua mbao unaona misitu yake anauzia wafanyabihashara wengine wakupasua sio yeye anapasua ingawa na yeye...
  5. M

    Msaada anaejua bei ya miti nataka kuivuna

    Mzee tatizo mnakalili sana mkisikia mtu akiwaambia ukiwa na miti heka moja wewe tajiri(haya mambo nayaona sna humu JF kuwa baadaya miaka 10 eiti unashika milioni kadhaa e.g. 20Milioni ahahahah) mtakuja kufa aisee mkikutana na ukweli kwenye ground, kiukweli miti ni changamoto sana na bei ya elfu...
  6. M

    Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

    Mkuu inategemeana na sehemu, sisi huku mikoani kipindi cha mvua ndio kipindi cha kupiga hela sana tofauti na kiangazi kwani magari mengi yanakuwa yameoga tope hivyo hata uwe bahili vipi lazima uje uoshe gari yako
  7. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    hapo kaka kuna changamoto sana hasa kwenye bei ya mahindi mabichi na mara nyingi bei ni Tshs 150 na ikiwa bei nzuri inafika Tshs 200/= ingawa kwa nadharia unalosema kwa hekari kupata mahindi 29400 hapana mkuu, na sisi wakulima tungekuwa tunapigania huko huko kwenye mahindi mabichi alafu hekari...
  8. M

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    Pia mkuu Ze Farmer bihashara yeyote unapiga hela sema yatakiwa kuzingatia vigezo na masharti yake tu la sivyo wenzako watakuwa wanachanja mbuga wewe kilasiku ni mtu wa kuanzisha bihashara mpya na kuhiachia njiani hata mafanikio yake hutoyaona kamwe
  9. M

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    kwa watu kama sisi ambao twafanya rejareja yaani kukoboa na kusaga kwaajili ya wanamtaa/wanakijiji unatakiwa angalau uwe na kuanzia 8-12 milioni na inategemeana sana na suala la unajenga au unapanga, vile vile mjini au kijiji kwani kuingiza umeme bei ni tofauti kwa mfano kijijini umeme wa 3phase...
  10. M

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    🙏🙏🙏🙏 Nadhani hapo naposema kinu namaanisha kwenye kukoboa na kusaga ikiwa katika hali ya size zote ziwe 75, ila kwenye suala uliogusia la 50Hp ni zuri ila ulaji wa umeme nadhani utaweza kimbia labda kama unavyosea hivyo nija ya kutumia gearbox ambayo ndio maujanja hayo nayapata hapa Ila pia...
  11. M

    Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

    Mkuu nimeona nami nitie neno hapa kwani mchanganuo wako hapa janvini nimeupenda ila mimi ni mtu wa rejareja nataka kuwin soko la usagaji hapa nilipo kwa kuboresha quality ya unga naosaga kwenye mashine yangu ila kuna mtu alinishauri nichukue kinu cha size 75 na motor 30Hp ndio itatoa unga kama...
  12. M

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Kaka nahitaji electrical pressure cooker aina ya GB KING 6 litres na washing machine 14Kg brand West Point manual ni shilingi ngapi?
  13. M

    Wajuzi wa kushona mashati ya vitenge au vitambaa

    yupo maeneo gani huyo ndugu, nataka nipate shati moja matata la kitenge niwe sare na shemeji/wifi yako?
  14. M

    Jipatie Mchele safi kutoka Mbeya

    Ndugu yangu wateja wengi sana cha kwanza anachoangalia ni bei alafu kuanzia hapo ndio atauliza mambo mengine kuhusu bihashara yako ndio watanzania wengi tulivyo tuko price conscious. Hata mimi kama mtu kaweka tangazo bila bei hapo hata kujiuliza mara mbili kuhusu bidhaa yake hakuna.
Back
Top Bottom